Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 10,342
- 10,961
Aah! We, hilo balaa lenu pekeyenu, sisi wengine hatuhusiki.Aksante hii Ni kwa watz wote!
Aah! We, hilo balaa lenu pekeyenu, sisi wengine hatuhusiki.Aksante hii Ni kwa watz wote!
Aksante hii Ni kwa watz wote!
Bahanuzi mjinga...
Hapa watasema "tumekufa kiume"kifo ni kifo tu.
Polen sana.eti mlijitahd eti mlifanyaje hizo stor tu.cha msingi mmepigwa.rudini kwa ruvu shooting ndo saiz yenuThe lucky was not on our side heaven on earth but we tried...bahanuzi should not be blamed whatsoever...hajafanya makusudi
Sisi hatujui hilo uchunga wanga furaha ya Simba, ila hongera mmejitahidi.Mtoto mdogo mwanga
Mechi ipi tena mbona na yenyewe imekuwa past
Mkuu penati huwa hazina mwenyewe, lakini nafasi mbili tulizokuwa nazo tumezichezea
Mkuu penati huwa hazina mwenyewe, lakini nafasi mbili tulizokuwa nazo tumezichezea