CAF Champions League

ahsalan wasahlan,bahati haikua yetu leo anyway ni improvement kubwa,tulikua tukinusa tu egypt tunapigwa 5,tukijikongoja tunalala 3 bila leo mwarabu tunamtoa ulimi kwake ahhhhh.
 
Umeona eee... yani ni kama mtu anabakwa halaf aseme du ila wamesumbuka eti baadaye sana ndio wamepata. Lakini wamepata

Ha ha haaa Aisee kwa kejeli hii lazima nicheke ingawa sifurahishwi na Tanzania kutolewa.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Bahanuz flop of the match to Me! ImageUploadedByJamiiForums1394393365.643120.jpg


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wamekokota uzi wakifarijiana mpaka page 57 sasa simba tuwasaidie 57 zingine za jinsi wamejipoteza.

Mungu amewahurumia wasicheze 30minutes ingekuwa aibu wakapewa nafasi ya penalt wanaleta habari za mbuzi kafia kwa muuza kongoro.

Wanasema wamekufa kiume hawaelewi kufa ni kufa tu hamna kifo cha jinsia.

Yanga mechi za kimataifa bado sana

Hapa hakukuwa na 30 minutes additional ndugu acha kutapika....
 
..Magazeti ya simba hapo kesho.
Saba za wakomoro zawaridia.
..yanga kama nyoka wamaonyesho walala na mbuzi washindwa kumtafuna
..profesinal wao mwenye kejeri kwa simba awatoa yanga afrika
 
Jaxonwaziri kweli mkuu👏
But huu ndo ⚽, Lazma tukubaliane na matokeo, Kupigana tumepigana!!!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mpira wetu bado sana!!kama tumewakosa safari hii hatutawapata tena.
baati haiji mara mbili...Al-Ahly ya msimu ilikuwa imafungika, ila useme tu wachezaji wa Yanga walilewa sifa kwa ka-goli kamoja walikopata hapa nyumbani wakasahau kwamba nako kalifungwa na Beki kwa baati.
 
Kama kawa kama dawa,leo lazima waarabu wakae,na hiki hapa ndicho kikosi kitakachoanza kuwaua waarabu leo,Niyonzima ni mgonjwa nadhani ata kwenye bench hatakuwepo. Updates:HT-Al Ahly0-0Young Africans. Updates:Dk 73-Al Ahly1-0Yanga Updates:Full time-Al Ahly1-0Yanga Aggregate:Al Ahly1-1Yanga. Full time:Al Ahly6-5Yanga! Line up:Yanga. 1.Deo Munishi 2.Twite Mbuyu 3.Oscar Joshua 4.Nadir Haroub 5.Kelvin Yondani 6.Frank Domayo 7.Saimon Msuva 8.Mrisho Ngasa 9.Didier Kavumbagu 10.Emmanuel Okwi 11.Hamisi Kiiza Tetesi:Yanga wakiitoa Ahly watapewa 400m kama zawadi.
Oh mara Wazee wa Uturuki, Wazee wa wiki leo mtaa wote kimya na taa zimezimwa. Tupa kule Yebo yebo.
 
Nasubiria magazeti pendwa ya wanajangwani yatakuja na lipi. 1. Fitina?? No no..basi lao hamkupanda na hotel yao
hamkukaa.
2. Mashabiki??? No no..hawakuwepo.
3. Red card???? No no...hamkupewa.
4. Magoal ya offside??? No no..hayakuwepo
5. Refa?? No no...alikuwa safi kabisa.
6..............????

mi ndio mhariri,ntaandika tu wamegongwa 0713 kwa tabu sana!yan wangezubaa kidogo tu wangekimbia na pichu
 
Back
Top Bottom