CAF Champions League

Adebayor-Yanga-FC.jpg
 
Yani uku tabata utasema. game ilikua inachezewa uku maana mashabiki wa simba ni ful shangwe.
 
yaani yanga hamtokuja kuwafunga tena waarabu kama mmeshindwa leo ila kwa kweli mmejitahidi
 
Inatakiwa wachezaji wetu wasiwaze kupaki basi mda wote tu, Go yanga, go yanga!!


Sent from my iPhone using JamiiForums

Wewe ndie utasababisha Yanga wafungwe, huyo uliemuomba aisaidie Yanga ishinde umeandikaje jina lake?

Inakera sana mtu akikosea jina lako!
 
Back
Top Bottom