Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 15,311
- 16,493
Tumekufa kiume
Kufa ni kufa tu
Tumekufa kiume
wamewatoa al ahly mkuu,infrastratn ya kufungwa nini mpaka umesahau kama mlikuwa mnacheza waarabu?
Sasa si ui copy hapo na uniwekee hapa mbona inakuwa kazi link tu??
ila huyu Bahanuzi daah
Aisee hakuna kutembea uchi.yanga wa hapa hapa tu
Yani uku tabata utasema. game ilikua inachezewa uku maana mashabiki wa simba ni ful shangwe.
Wanafirwa sana
Hawa jamaa sio wazuri kama zamani,kama tungekuwa makini tungewatoa kwenye penati.Ingekuwa enzi zao wangetufunga hata 3 bilaUnamaana gani mkuu..?
bahati mbaya haikusaidii maana machungu tuliyonayo uatjifungia ndani aprilMungu katuondolea aibu hii ....Kama Yanga wangeshinda na kuingia 16 bora Yanga wangeenda aibisha Taifa....
Ahsante Mungu...
Inatakiwa wachezaji wetu wasiwaze kupaki basi mda wote tu, Go yanga, go yanga!!
Sent from my iPhone using JamiiForums