utafiti
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 12,783
- 7,657
Tukazane kuomba!
Wanatukosa kosa sana hapa
Tukazane kuomba!
Waarabu tupeni raha Watanzania...
Dakika ya 78 mkuu...tumbo linauma bado
daah,namna gani al ahly tunakosa bao
Wewe vipi? Andika kwa kiarabu basi
Naombeni mnipe link ingine, ile ya nile aionyeshi tena.Mkuu kwasasa tupo Misri...
waarabu tupeni raha watanzania...
Dakika ya 78 mkuu...tumbo linauma bado
Pole Mkuu!
Mkuu kwani umeshindwa kusoma...
Waarabu tupeni raha Watanzania...
La 2 linanukia wala haliko mbali, yanga sasa hawajitambui wapo wapo tu wanakimbia uwanjani