hakuna tatizo hapo,kwani mengi na burundi nani tajiri??acheni chuki za kipuuzi kwa nchi yenu,halafu hiyo title ingekuwa "burundi imetoa msaada kwa waathirika"..ila wale wanaoponda waambieni Genda Heka linawaona
sasa mimi nimeandikaje hapo??acha kukurupukaUpo soo negative... Hii ni habari njema kwa ujirani wetu.
Serikali ipi?Ila serikali haijatoa kitu
Wanaoibeza Burundi ni wanyarwanda mkuu. Wasikupe shida.Mnaobeza msaada Huo wa Chakula acheni kejeli sio nzuri kabisa kwa warundi kutupa chakula
SIO KWELITusishangae asilimia kubwa ya huo msaada umewalenga wakimbizi toka burundi waishio kagera
Kwahiyo ulishapeleka mahindi na mchele huko Kagera.kwani hapa kwetu hatuna mchele, wala mahindi kwanni wasitoe pesa wanatoa mazao ambayo kwetu yapo kila kona ya nchi hawajui kuwa Tanzania imebarikiwa na Mungu