Burundi waipa msaada Tanzania

hakuna tatizo hapo,kwani mengi na burundi nani tajiri??acheni chuki za kipuuzi kwa nchi yenu,halafu hiyo title ingekuwa "burundi imetoa msaada kwa waathirika"..ila wale wanaoponda waambieni Genda Heka linawaona

Upo soo negative... Hii ni habari njema kwa ujirani wetu.
 
Back
Top Bottom