Ndalama
JF-Expert Member
- Nov 22, 2011
- 8,787
- 6,533
Sisi majirani kabisa hatujafika nchi yenye mgogoro inatuwahiKwa nn Mkuu si ni ujiran mwema au unawaza nn?
Sisi majirani kabisa hatujafika nchi yenye mgogoro inatuwahiKwa nn Mkuu si ni ujiran mwema au unawaza nn?
Wivu utakuua, upinzani unahusikaje hapa kwa mfano?upinzani kwa sasa wamekuwa matahira kila kitu kwao kibaya!!!duuh ndo maana wakadeki barabara...
Mzee wa bombadia anakagua vyeti feki kwa wafanyakazi wa bandalini.Na yule rafiki yetu mpya hapo jirani mzee wa bombadia yuko wapi?
Hakuna bovu lisilo faaHabari wanaJF,
Naibu Waziri Mambo ya Nje leo amepokea msaada wa mchele tani 100, mahindi tani 50, sukari tani 30 kutoka Burundi kuwasaidia waathirika wa tetemeko la ardhi Bukoba mkoani Kagera.
kwani hapa kwetu hatuna mchele, wala mahindi kwanni wasitoe pesa wanatoa mazao ambayo kwetu yapo kila kona ya nchi hawajui kuwa Tanzania imebarikiwa na Mungu
Hapa kuna mchwa, pesa itapekechwa faster!kwani hapa kwetu hatuna mchele, wala mahindi kwanni wasitoe pesa wanatoa mazao ambayo kwetu yapo kila kona ya nchi hawajui kuwa Tanzania imebarikiwa na Mungu
Na itawachukua mda ku recover kidogoBurundi wamejitutumua
OVA
LAKINI WAMETOA MKUU WAKATI MWINGINE SISI TUNAPIGA TU KELELE HUMU JF LAKINI TUKIULIZWA TUMETOA NINI HATUNA LA KUJIBUNa itawachukua mda ku recover kidogo
Title ni sahihi. Kwani waathirika wapo wapi?hakuna tatizo hapo,kwani mengi na burundi nani tajiri??acheni chuki za kipuuzi kwa nchi yenu,halafu hiyo title ingekuwa "burundi imetoa msaada kwa waathirika"..ila wale wanaoponda waambieni Genda Heka linawaona
yalikuwa ni mapendekezo yanguTitle ni sahihi. Kwani waathirika wapo wapi?
Sawayalikuwa ni mapendekezo yangu
mchambawima1, Koba, murutongore na mng'ato hawachelewi kusema wewe ni Interehamwe.Mungu awabariki Burundi
mrangi vipi habari mkuu. Natoka kidogo nje ya mada: naomba unipe tathmini yako kuhusu madawa ya kulevya? Je bado biashara ipo juu au imepungua?Burundi wamejitutumua
OVA