Utakuwa shabiki wa nyeupe, hatuhangaiki na wewe maana ni mnafikiIla serikali haijatoa kitu
Utakuwa shabiki wa nyeupe, hatuhangaiki na wewe maana ni mnafiki
Wahisani wa majanga sio maendeleoHadi burundi wamekua wahisani wa maendeleo
Imeomba omba tu!Ila serikali haijatoa kitu
doh...kweli wewe noma..unachagua msaadakwani hapa kwetu hatuna mchele, wala mahindi kwanni wasitoe pesa wanatoa mazao ambayo kwetu yapo kila kona ya nchi hawajui kuwa Tanzania imebarikiwa na Mungu
Sa kama mtu anakupa msaada si anatoa alicho nacho?kwani hapa kwetu hatuna mchele, wala mahindi kwanni wasitoe pesa wanatoa mazao ambayo kwetu yapo kila kona ya nchi hawajui kuwa Tanzania imebarikiwa na Mungu