Buriani Rashid Mbuguni, Mzalendo aliyedhulumiwa kiwanda amekufa hajaona haki

Magufuli alikuwa ni "Mnyama"Kama wanyama wengine ndani ya Barala Afrika ....
Magufuli alikuwa ni shetani kwenye mwili wa mwanadamu.
Nimeshasema magufuli alikuwa shetani mwenye jicho moja na pembe kichwani. Matendo yake maovu ndiyo yanaakisi ushetani wake.

Hakuna Mtanzania mwingine including w UHURU JR ambaye anaweza kuua wananchi wenzie kama panya buku
 
Nina uhakiaka kuna jambo lipo nyuma yake...
Kama kuna mdau mwenye taarifa za upande wa pili aziweke hapa.

Nakumbuka kuna wadau walijibinafsishia baadhi ya mali za uma.. jamaa (magu)akafanya kuzirudisha (mfano sakata la Airtel.. hisa za vodacom, kituo cha DTV)
Kulikuwa kuna mengi nyuma yake
Unawezaje raia kujibinafsisha mali ya umma?

Mamlaka ziko wapi mpaka ujichukulie AIRTEL? Au DTV
 
Kabla ya kumuhukumu Magufuli ingekua vizuri Kama tungepata na story za upande wa pili,ili tujuwe Nini zilikua sababu za kutaifishwa kwa hiyo mitambo! Unaweza kuta Mshikaji nae alikuwa fisadi, na ni kawaida sana fisadi kupendwa na Watanzania masikini kisa tu kuna visenti anatoa kwa walala hoi!!
Wewe sasa jkipaji ndiyo uulete huo upande wa pili. Who alleges must prove
 
Kabla ya kumuhukumu Magufuli ingekua vizuri Kama tungepata na story za upande wa pili,ili tujuwe Nini zilikua sababu za kutaifishwa kwa hiyo mitambo! Unaweza kuta Mshikaji nae alikuwa fisadi, na ni kawaida sana fisadi kupendwa na Watanzania masikini kisa tu kuna visenti anatoa kwa walala hoi!!

Sasa si bora huyo fisadi anayetoa visent kwa walala hoi... hao ambao si mafisadi wamewafanyia nini walala hoi?
Tufanye mfano pm Majliwa si fisadi, hadi sasa kawafanyia nini walala hoi??
 
Pole kwa Familia ya Mzee Mbuguni kwa Msiba huu na Mwenyezi Mungu aiweke Roho yake mahala pema peponi.

Nilimjua Marehemu na Familia yao mzima tokea nikiwa bado mdogo miaka ya 80 kuelekea ya 90 wakiwa Kwao Oysterbay nyuma ya Mtaa wa Chole ( Chole Road ) huku Marehemu akiwa ni Rafiki mkubwa wa Kaka zangu.

Pole nyingi sana pia kwa Dada yake ambaye anamiliki Benz Moja Kali sana ( labda kwa sasa awe ameshaiuza )kwani alishirikiana vyema nz Marehemu Kaka yake Kuiendesha hiyo Kampuni.

Luqman Maloto ni kweli kuwa Marehemu alifilisiwa ila ukisema kuwa Kafa Masikini nakukatalia kwani Marehemu anatoka Familia Bora ya Ushuani Oysterbay na Marehemu Baba yake aliwekeza katika Miradi mingi na Kuwasomesha vyema Watoto wake Wote huku baadhi yao wakiwa Kitengoni jirani na Kanisa la Mtakatifu Petro Oysterbay.

Otherwise Hongera mno Luqman Maloto ( Mwanafunzi wangu katika Tasnia ) kwa Uandishi mzuri wenye Mpangilio wa Kitaaluma hasa ambao unamvutia Msomaji yoyote bila Kuchoka au Kumboa vile vile.

Katika Waandishi wa Habari wanaoujua Kuandika vyema, Kuchambua na kuweka Facts vizuri Luqman Maloto hukosi katika Tano Bora yangu na bahati nzuri GENTAMIYCINE nimekufundisha Tasnia hii Chuoni ( 2011 - 2012 ) hivyo nakujua Kiuwezo, Kitasnia na Kitabia na sishangai Wewe kuwa Bora na Mahiri hivi Kiuandishi.
If such are the priests, God bless the congregation.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom