Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,620
- 106,714
Rashid Mbuguni mimi nakumbuka kawapa kazi za kuanzia maisha na muelekeo rafiki zangu vijana wengi sana wa Dar. Wengine waliishi maisha ya Kinyamwezi, mtu ndiyo kwanza kamaliza sekondari na hapo hapo anafanya kazi nzuri tu by our standards hapo Business Times.
Aliwajali sana vijana wadogo wanaoanza maisha, wengine wakiwa chini sana kwake kidaraja kazini, akiongea nao wakiwa wageni kazini, na kuwapa ushauri mzuri, mara nyingi wakiwa hata hawamjui kuwa huyu ni bosi mkubwa kabisa, kwa jinsi alivyojiweka simple
Kwenye circle yangu tu kuna vijana wengi wanasimulia alivyokuwa mtu poa.
Live clean and let your work be seen.
-Peter Tosh
Ametimiza kazi hiyo.
Pole sana kwa wafiwa.
Aliwajali sana vijana wadogo wanaoanza maisha, wengine wakiwa chini sana kwake kidaraja kazini, akiongea nao wakiwa wageni kazini, na kuwapa ushauri mzuri, mara nyingi wakiwa hata hawamjui kuwa huyu ni bosi mkubwa kabisa, kwa jinsi alivyojiweka simple
Kwenye circle yangu tu kuna vijana wengi wanasimulia alivyokuwa mtu poa.
Live clean and let your work be seen.
-Peter Tosh
Ametimiza kazi hiyo.
Pole sana kwa wafiwa.