binafsi sioni ajabu kwa aliyozungumza kwa sababu hata alipotoka CCM alizungumza kwa jinsi hiyo hiyo. Ni jukumu la CHADEMA kuamua kama wamfukuze au wamwache kwani walionywa tangu mapema kwamba yule bwana katumwa na CCM kwenda kufanya kazi maalum huko CHADEMA.