Mpui Lyazumbi
JF-Expert Member
- Sep 1, 2010
- 1,856
- 371
Kuna kitu tunataka kusahau! Udharura alo-submit J Makamba kuhusu bajeti ya viwanda & biashara regarding crisis ya mafuta, ina utofauti gani na wale samaki wa kutoka japan? Udharura huo ulipingwa kwa msingi upi? Tukumbushane wakuu ili kuweka taarifa vizuri.