Leo Ngeleja kawapa COPEC leseni ya kutuuzia mafuta.Wameula,nimependa jinsi serikali ilivyoonyesha ukakamavu na ukali.
KUMBE SERIKALI INA AKILI IKIAMUA EEH??
<br />,tuwapigie makofi mara tatu,<br />
pa pa pa hongera,papap pa Imara, pa pa pap a waaaaaaa.CCM oyeeee<br />
Commercial Petroleum Company of Tanzania Limited(COPEC)
I like the way wanavyofanya usanii. halaf kumbe unapenda mambo ya korea?....i mean your avatar reminds me of the previous drama..usanii
<br />HIVI TUKOJE WABONGO,lets applause them jamani sasa kuwaponda ya nn tena???<br />
mkoje nyie,wametoa tamko then tuwasupport sio kusema ooh hawawezi oooh lege lege,mbona hamna shukrani wabongo???Mie nawapongeza ni hatua nzuri na yenye nuru,wewe kama huwezi ona japo chembe ya compliment kalegee legee na mpnzio.
<br />Leo Ngeleja kawapa COPEC leseni ya kutuuzia mafuta.Wameula,nimependa jinsi serikali ilivyoonyesha ukakamavu na ukali.<br />
KUMBE SERIKALI INA AKILI IKIAMUA EEH??
mchakato wa kuipata hiyo kampuni wa kuipatia hiyo kampuni uliaza lini na walishindanishwa na makampuni gani?
bado sioni sababu za kwanini hawakuipa TPDC kazi hii,au hawaiamini,which means hajiamini?
,tuwapigie makofi mara tatu,
pa pa pa hongera,papap pa Imara, pa pa pap a waaaaaaa.CCM oyeeee
Commercial Petroleum Company of Tanzania Limited(COPEC)
<br />Leo Ngeleja kawapa COPEC leseni ya kutuuzia mafuta.Wameula,nimependa jinsi serikali ilivyoonyesha ukakamavu na ukali.<br />
KUMBE SERIKALI INA AKILI IKIAMUA EEH??
,tuwapigie makofi mara tatu,
pa pa pa hongera,papap pa Imara, pa pa pap a waaaaaaa.CCM oyeeee
Commercial Petroleum Company of Tanzania Limited(COPEC)