Lissu kawatega CCM lakini kwa sababu it is a SILLY party hawakujua na hivyo wakajiingiza kwenye mtego! Amefunua 'veil' ya unafiki, na sasa CCM watatakiwa wachague ama ku-defend Silly bugdet au kuiunga mkono hiyo silly budget. You need more than a first class economics kung'amua huu mtego wa Lissu, na tayari Mwigulu na Komba wameshanasa. CCM you are in trouble.