only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
Aisee kumbe Mwigulu Mchemba hana akili kabisa. Anahitaji kupelekwa Mirembe CCM inakufa anaamua kutupa matope Bungeni kutukana upinzani waigizaji na vichaa na eti wana pepo mtaka vyeo. Hasira zake nafikiri ni failure kule arumeru. Anataka kurudia yale ya Lusinde arumeru ama kweli CCM imekwisha. Ametupa bajeti ya Upinzani na kuiita rubbish
Ukweli ni kuwa TUNDU LISSU kawatoa kwenye hoja kwa kuvuruga saikolojia yao. Na hii si mara ya kwanza, mara zote TUNDU LISSU uwa anawavuruga wabunge wa Chama Cha Majambazi (CCM). Wakati wa Mswada wa mabadiliko ya katiba alipotoa hotuba walivurugwa kabisa. Uwezo wa kujenga hoja na kuzitetea kwa Mwigulu, Lusinde na Komba ni mdogo sana na ukweli ni kuwa ni vilaza.