Delegate
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 331
- 201
Kama kuna kazi anatakiwa kufanya mbunge wa Iramba Mwigulu Nchemba ni kuwasaidia nduguze wanakuja wilaya mbulu kwa wingi kuomba ajira ya kilimo.
Ni muda mrefu sasa wenyeramba wanateseka mno kutafuta maisha mazuri. Cha kushangaza ni mwakilishi wao kuwa mtetezi wa serikali. Ukitaka kujua umasikini maana yake nenda Iramba utajionea jinsi umaskini ulivyokithiri.
Wanaotoka Iramba wanajua hali hii.
Ni habari za uhakika. Kama kuna umasikini wa hali ya juu nchi hii uko wilaya ya Iramba.
wanyiramba inakuwaje wanachagua mtu mwenye akili za kimaskini hivyo??watashangaa