Edson Zephania
JF-Expert Member
- Apr 8, 2011
- 517
- 112
Anaanza naibu waziri wa fedha kujibu hoja za wabunge.
Leo hakuna kuuliza wanaoafiki waseme Ndiyo na wasioafiki waseme Siyo. Leo anaitwa mmoja mmoja kwa jina na anasema NDIYO au HAPANA. Hapa ndo tuwaangalie wawakilishi wa kweli wa wananchi na wanafiki!.
Waziri wa fedha anawashukuru wananchi na wabunge kwaa kuiunga mkono budget kwa 100%
Waziri wa fedha anawashukuru wananchi na wabunge kwaa kuiunga mkono budget kwa 100%
Mkuu hao wa magamba ni wengi kuliko vyama vya upinzani, na kwa chama cha magamba wote itakuwa NDIYO and dont be surprised bajeti itapita kiulaini na mapungufu tuliyoyaona.Leo hakuna kuuliza wanaoafiki waseme Ndiyo na wasioafiki waseme Siyo. Leo anaitwa mmoja mmoja kwa jina na anasema NDIYO au HAPANA. Hapa ndo tuwaangalie wawakilishi wa kweli wa wananchi na wanafiki!.
makubaliano ndani ya vikao vyao vya ccm wanaleta bungeni eti ndo wabunge na wananchi tumeunga mkono nilivyosikia hivyo nimeishiwa imani kabisa na zile 10% zangu juu ya serikaliWaziri wa fedha anawashukuru wananchi na wabunge kwaa kuiunga mkono budget kwa 100%
Wabunge wa chama cha magamba wamewakilisha wananchi wa majimbo yao.i hope ur jokin.. wananchi wepi hao anaowashukuru kwa kuunga mkono kwa asilimia 100?
i hope ur jokin.. wananchi wepi hao anaowashukuru kwa kuunga mkono kwa asilimia 100?