Donyongijape
JF-Expert Member
- May 28, 2010
- 1,497
- 811
nimeshangaa mrema kusema hapana akiwa wa mwanzo kabisa kwa wapinzani..i saw some light!zito amekataa bajeti ya ccm pamoja na cheyo
nimeshangaa mrema kusema hapana akiwa wa mwanzo kabisa kwa wapinzani..i saw some light!zito amekataa bajeti ya ccm pamoja na cheyo
Kura za
NDIYO=234
HAPANA=81
JUMLA= 315. Wanashangilia CCM
posho kubakia palepale.Makubwa, wanashangilia nn sasa!
Waziri wa fedha anawashukuru wananchi na wabunge kwaa kuiunga mkono budget kwa 100%
Mkuu siku yao inakuja, time will tell.kweli hawa weu! cc tunakufa na njaa wao wanapiga vigeregere!