Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,617
alikuwa chooni anakunya...Ulivyokuwa unaandika hapa ulikuwa unafukuzwa? nenda kajianze upya!
so many contradictions.
alikuwa chooni anakunya...Ulivyokuwa unaandika hapa ulikuwa unafukuzwa? nenda kajianze upya!
so many contradictions.
Sirlimu Ibwe said:Kauli hiyo ni sahihi kutolewa na mhemiwa mbunge wa bunge tukufu. Nahisi Mheshimiwa alikosea anapaswa kuwaomba msamaha wawnwnchi waliomchagua, hawakumtuma ili akapigane bali akajenge hoja.
Mimi ni mmojawapo wa waliomchagua Lema nataka aanzishe ngumi kabisa bungeni tena akija Arusha tutaandaa maandamano kumpongeza kwa hiyo kauli yake! Need I say more?
Ni bora ungerekebisha na kusema wabunge wote waombe radhi maana kuna waliosema HAO NI CHADEMA wengine wakasema AKANYWE KIKOMBE CHA BABU, ATOKE NJE. wakati huo kumbuka spika anaongea tena akiwa amesimama> hizo kauli zote zimetolewa na Lema????????????? si nakuuliza wewe ibwe????? kwa nini yeye aombe msamaha au ndo kunya anye kuku akinya bata??? mbona na wewe haupo kwa timu mpya ya kina mukama???Kauli hiyo ni sahihi kutolewa na mhemiwa mbunge wa bunge tukufu. Nahisi Mheshimiwa alikosea anapaswa kuwaomba msamaha wawnwnchi waliomchagua, hawakumtuma ili akapigane bali akajenge hoja.
Hata kama Lema amesema lazima ujue amekulia mazingira yapi. Kwa Arusha kuna mambo ni kawaida sana. Mtu kupigwa bisibisi na kuambiwa 'we k*** to simu au nichekeche' ni jambo la kawaida. Usipotoa simu jamaa anachekecha bisibisi na hapo tayari ipo ndani!
Mbona polisi huwa wanampiga Lema sasa yeye kupigana ni nongwa?
Mimi ni mmojawapo wa waliomchagua Lema nataka aanzishe ngumi kabisa bungeni tena akija Arusha tutaandaa maandamano kumpongeza kwa hiyo kauli yake! Need I say more?