sasa wale akina mama waliogawa ngono mpaka wakachaguliwa kuwa wabunge mnategemea nini? hamjui ni kawaida ya malaya na mashangingi kuzomea na kupayuka? yuko wapi mbunge makini wa viti maalum wa ccm ambaye twaweza kusema huyu aliingia kihalali? rita mlaki? anna abdalah? mlata?
Usiniambie walionjwa kwanza! Ila ni kawaida yao ukiwa na mke mwenye cheo ccm jua wamesha-mchifupa, huna bahati anza kuchanga karata upya maana siku siyo zako, ona wanaume wenye wke viongozi anavyotaabishwa, namjua jamaa mmoja kapewa ukuu wa wilaya mbali na mke wake baada ya kugundua mke wake anatifuliwa na mkuu mmoja ambaye pia wana kaundugu na mheshimiwa! Ccm hao jamani! Hata udiwani ni noma haupatikani ukiwa na nguo zako zote!