MchunguZI
JF-Expert Member
- Jun 14, 2008
- 4,009
- 2,171
Jana Mh. Godbless Lema alidhihirisha kile watu wengi wanachokihofia kuhusu Chadema, pale alipotaka milango ya bunge ifungwe na badala yake washindane kwa ngumi badala ya hoja!
Kweli Chadema ni hamnazo!
Wewe unadhani Bungeni ni sehemu ya kupiga vigelegele!
Hiyo ni CDM haikuingiza washangiliaji au comfort girls kama CCM.