Hapana mkuu ambao ni hamnazo ni wale wanaokiuka utaratibu mzuri uliowekwa na bunge wa kufuata kanuni. Godbless anathibitisha kuwa vijana wako bold na hawaogopi kusema ukweli. Mtu unapindisha kanuni halafu ikubalike!!! Hakuna NGUMI tu ndipo watafuata utaratibu!!!!!!!!!!!!! Mtu akipewa mamlaka sio kwamba afanye anachotaka aongoze kwa kufuata kanuni zilizowekwa na bunge sio zake. Kwani bunge lake hilo?Jana Mh. Godbless Lema alidhihirisha kile watu wengi wanachokihofia kuhusu Chadema, pale alipotaka milango ya bunge ifungwe na badala yake washindane kwa ngumi badala ya hoja!
Kweli Chadema ni hamnazo!