AK-47
JF-Expert Member
- Nov 12, 2009
- 1,373
- 199
Nilikua naangalia bunge letu Live wakati wa mjadala wa mswada wa sheria ya madini cha kushangaza wakati wengine wakijadili kwa kina mswada huo muhimu baadhi ya wabunge walikuwa wakipiga soga kiasi cha kugeuza kabisa viti ili waangaliane vyema na kugonga mikono kunogesha maongezi yao kanakwamba wao hawahusiani kabisa na kinachoendelea. Najiuliza hivi bunge letu limekua kijiwe cha kupiga soga ?.