Bunge lawaka moto: Lissu, Msigwa na Lema watolewa nje!

Wabunge wa ngapi wa CCM wameomba mwongozo huku wamewasha mic zao na kutolewa nje ya Bunge? Kama jibu ni hapana wakati huwa wanafanya hivyo kila mara, then huo ni upendeleo ni uonevu wa wazi. CCM watatoa hesabu mwaka 2015
 
Sheria haina wadhifu,kama democratic state lazima tufuate utawala wa sheria.Kama wamevunja taratibu za bunge ni vyema waadhibiwe kwa mujibu wa taratibu za bunge.Je kuna ukiukaji wa taratibu ktk utoaji wa adhabu hiyo?Kutafuta umarufu kupitia bunge.Napendekeza wasimamishwe kuhudhuria vikao vya bunge kwa kipindi chote kilichobaki,ili wakilirudi wawe na nidhamu ya kujadili hoja kwa ajili ya maendeleo ya nchi na sio kufanya fujo na kufoji sahihi ya Mhe.Waziri Mkuu.Big up to you Mr.Ndugai.

pendekezo la kijuha-juha
 
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
Wewe na wanamagamba wenzako ndio wahuni! &lt;br /&gt;<br />
Lukuvi aliomba muongozo kwa Naibu Spika baada ya Mh Lema kumaliza kusoma hotuba ya kambi rasmi ua upinzani. Lukuvi akaanza kuhutubia Bunge yaani Waziri anaanza kuhutubia Bunge Naibu Spika anakaa kimya kwa sababu ni mwanamagamba mwenzake.WTF?
<br />
<br />
bunge linaongozwa kwa taratibu na sheria zilizowekwa,sio kila mmoja anaropoka bila mpangilio hapo kutakuwa na bunge au baraza la kahawa?
 
Ni kweli kabisa mh.Lukuvi alitumia muda mrefu kutoa mwongozo ikawa kama anahutubia,pia naibu spika akawa anaendelea kumsikiliza kitu ambacho kwa upande wa wapinzani huwakataza(alipendelea),lakini hii ilisababishwa na maandishi yaliyosomwa na waziri kivuli mh.ema ndani ya hotuba yake ambayo iliishambulia vikali serikali na jeshi la polisi.Tundu lisu na mh.Msigwa baada ya kuona upendeleo huo ingawa Ndugai anasisitiza kuwa yule ni waziri wa nchi ndio maana aliachia muda mrefu,wao waliwasha maiki na kuropoka kitendo kilichofanya wabunge wengine wa chadema kupaza sauti.
 
Wabunge wa ngapi wa CCM wameomba mwongozo huku wamewasha mic zao na kutolewa nje ya Bunge? Kama jibu ni hapana wakati huwa wanafanya hivyo kila mara, then huo ni upendeleo ni uonevu wa wazi. CCM watatoa hesabu mwaka 2015

Acha ushabiki we fuata kanuni zinasemaje?
 
Napata hisia serikali ya Chadema itakuwa ya kidikteta sana.kila mnachoamini hamtaki kukosolewa au kushauriwa. Tunaelekea kupigana bungeni sasa
 
Ni kweli kabisa mh.Lukuvi alitumia muda mrefu kutoa mwongozo ikawa kama anahutubia,pia naibu spika akawa anaendelea kumsikiliza kitu ambacho kwa upande wa wapinzani huwakataza(alipendelea),lakini hii ilisababishwa na maandishi yaliyosomwa na waziri kivuli mh.ema ndani ya hotuba yake ambayo iliishambulia vikali serikali na jeshi la polisi.Tundu lisu na mh.Msigwa baada ya kuona upendeleo huo ingawa Ndugai anasisitiza kuwa yule ni waziri wa nchi ndio maana aliachia muda mrefu,wao waliwasha maiki na kuropoka kitendo kilichofanya wabunge wengine wa chadema kupaza sauti.

Sasa hiyo ni khtari kwani hata wao wabunge ni wawakilishi wa wananchi , hivyo wote katika hil wana haki sawa na kustahiki kutendewa sawa kiusawa.

Kwa hapo Spika ilimpuruchuka.
 
Mh. Lusinde ndio aliyesema hayo. Pia alimwambia uncle wake John asigombee mtera hakusikia mwisho wake aibu kwa uncle. Hata mkubwa hukanywa
 
Mimi sio mwana C_M lakini kwa hili naona kama CDM wanawakosea sana wana C_M, yani wao kila kitu ni kupinga tu.
 
eti waheshimiwa kwa ma-reference hayo kibao ya fighting kwenye hayo mabunge tajwa hapo juu; Nigeria, Alabama, Mexico, India, Sri Lanka na Russia kwa uchache, je haitoshi kuhitimisha kuwa na ss tungekuwa na japo ka muda fulani hivi kakusaidiana kuonyeshana adabu at least upate kitu cha kwenda kuwaonyesha wapiga kura wako na mke wako kuwa umetoka kazini? Yaani faita ikianza bungeni ichuniwe kidogo halafu sijui huyo sajenti wa mikono ndio aaingilie kati. pia nime-observe kuwa haya mabunge mengine ya wezentu hayana askari mle ndani.
 
Back
Top Bottom