Nyampedawa
Member
- Feb 15, 2011
- 98
- 13
Naomba speaker,naibu speaker na wenyeviti wa bunge na pia upande wa serikali muendelee hivyohivyo ili wananchi wajue kuwa wanaongozwa na vilaza wafanye maamuzi sahihi kuing'oa serikali kwa maandamano ya kufamtu naomba hiyo siku iwe kesho.
Sawa kabisa mkuu. Waache wajichimbie kaburi.