Haya yote ni matokeo ya mdomodomo wa NAPE na kimbelembele cha TRA kuhusu mshahara na posho ya Dr. Slaa.
Ninavyofahamu viongozi wakuu wote wa serikali na wabunge wanalipwa mi-posho mingi ambayo haikatwi kodi kinyume na sheria hadi jana alipohalalisha Mkulo.
Dr. Slaa alikuwa anaandaa kumulipua JK kuhusu POSHO na MARUPURUPU anayolipwa kila mwezi ambayo hayakatiwi kodi. Alikuwa bado akikamilisha kukusanya hizo data. Pia Dr. Slaa alikuwa yuko njiani pia kuwalipuwa wabunge kuhusu POSHO wanazopokea ambazo hazilipiwi kodi e.g. subsistance allowance, Sitting allowance, posho ya mafuta, posho jimbo (kwa wenye majimbo) etc.
Ili kum pre-empty Dr. Slaa, Mkulo ameona ahalalishe huo ukwepaji wa kodi kabla Dr. Slaa haja open a pandora box. Kwa wale tusiokuwa wafanyakazi wa serikali na Taasisi zake TULIE tu. Kwani sasa hivi Serikali imehalalisha watumishi wake na Taasisi zake kukwepa kulipa kodi.
Sheria za nchi hii zina macho, kama suala ni kuwapunguzia wafanyakazi makali ya maisha kwanini basi iwe kwa wafanyakazi wa serikali tu na sio wafanyakazi wote including wa private sector? BE THE JUDGE YOURSELF!
Ninavyofahamu viongozi wakuu wote wa serikali na wabunge wanalipwa mi-posho mingi ambayo haikatwi kodi kinyume na sheria hadi jana alipohalalisha Mkulo.
Dr. Slaa alikuwa anaandaa kumulipua JK kuhusu POSHO na MARUPURUPU anayolipwa kila mwezi ambayo hayakatiwi kodi. Alikuwa bado akikamilisha kukusanya hizo data. Pia Dr. Slaa alikuwa yuko njiani pia kuwalipuwa wabunge kuhusu POSHO wanazopokea ambazo hazilipiwi kodi e.g. subsistance allowance, Sitting allowance, posho ya mafuta, posho jimbo (kwa wenye majimbo) etc.
Ili kum pre-empty Dr. Slaa, Mkulo ameona ahalalishe huo ukwepaji wa kodi kabla Dr. Slaa haja open a pandora box. Kwa wale tusiokuwa wafanyakazi wa serikali na Taasisi zake TULIE tu. Kwani sasa hivi Serikali imehalalisha watumishi wake na Taasisi zake kukwepa kulipa kodi.
Sheria za nchi hii zina macho, kama suala ni kuwapunguzia wafanyakazi makali ya maisha kwanini basi iwe kwa wafanyakazi wa serikali tu na sio wafanyakazi wote including wa private sector? BE THE JUDGE YOURSELF!