punainen-red
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 1,731
- 450
Wakifanya hivyo itakula kwao vibaya mno. Hawana namna yoyote ya kuwadanganya wananchi waeleweke. Halafu chama chochote kikiwaahidi wananchi kuwa kikipewa madaraka kitaondoa usiri kenye mikataba ya uwekezaji na kurudisha utaratibu wa bunge kuwa live kitakuwa kimeipiga bao ccm.