Bunge kutooneshwa live kwenye TV, kisa CHADEMA

May 12, 2011
46
7
Wadau,

Leo nimesoma makala kurasa za mwisho mwisho ktk gazeti la Rai la wiki iliypita ( siyo la jana) kuwa kuna mjadala wa kichini chini kwamba bunge lisioneshwa live ili kupunguza aibu ya serikali inayotokana na wapinzani haswa CHADEMA. Ieleweke kuwa mwandishi wa makala naye ameliweka kama tetesi.

Mwandishi amejenga hoja ktk mfumo wa uandishi wa kichokonozi. Wengine wanaweza kuisoma gazeti hilo. Hizi tetesi ningezikuta ktk gazeti jingine nisingezileta humu Jf. Rai naiheshimu sana.

Fufununu hizi zinakuja wiki chache baada ya mbunge wa CCM kuonesha nia ya kutaka kupeleka hoja binafsi bungeni ili kuondoa maswali ya papo kwa papo kwa waziri mkuu kwamba hayana tija.

Nawasilisha.
 
Wadau,

Leo nimesoma makala kurasa za mwisho mwisho ktk gazeti la Rai la wiki iliypita ( siyo la jana) kuwa kuna mjadala wa kichini chini kwamba bunge lisioneshwa live ili kupunguza aibu ya serikali inayotokana na wapinzani haswa CHADEMA. Ieleweke kuwa mwandishi wa makala naye ameliweka kama tetesi.

Mwandishi amejenga hoja ktk mfumo wa uandishi wa kichokonozi. Wengine wanaweza kuisoma gazeti hilo. Hizi tetesi ningezikuta ktk gazeti jingine nisingezileta humu Jf. Rai naiheshimu sana.

Fufununu hizi zinakuja wiki chache baada ya mbunge wa CCM kuonesha nia ya kutaka kupeleka hoja binafsi bungeni ili kuondoa maswali ya papo kwa papo kwa waziri mkuu kwamba hayana tija.

Nawasilisha.
hii sasa kali!
 
font color="#222222"span style="font-family: Tahoma"Wadau,
Leo nimesoma makala kurasa za mwisho mwisho ktk gazeti la Rai la wiki iliypita ( siyo la jana) kuwa kuna mjadala wa kichini chini kwamba bunge lisioneshwa live ili kupunguza aibu ya serikali inayotokana na wapinzani haswa CHADEMA. Ieleweke kuwa mwandishi wa makala naye ameliweka kama tetesi.
Mwandishi amejenga hoja ktk mfumo wa uandishi wa kichokonozi. Wengine wanaweza kuisoma gazeti hilo. Hizi tetesi ningezikuta ktk gazeti jingine nisingezileta humu Jf. Rai naiheshimu sana.
Fufununu hizi zinakuja wiki chache baada ya mbunge wa CCM kuonesha nia ya kutaka kupeleka hoja binafsi bungeni ili kuondoa maswali ya papo kwa papo kwa waziri mkuu kwamba hayana tija.
Nawasilisha.
Gossip..
 
<font color="#222222"><span style="font-family: Tahoma">Wadau, <br />
<br />
Leo nimesoma makala kurasa za mwisho mwisho ktk gazeti la Rai la wiki iliypita ( siyo la jana) kuwa kuna mjadala wa kichini chini kwamba bunge lisioneshwa live ili kupunguza aibu ya serikali inayotokana na wapinzani haswa CHADEMA. Ieleweke kuwa mwandishi wa makala naye ameliweka kama tetesi. <br />
<br />
Mwandishi amejenga hoja ktk mfumo wa uandishi wa kichokonozi. Wengine wanaweza kuisoma gazeti hilo. Hizi tetesi ningezikuta ktk gazeti jingine nisingezileta humu Jf. Rai naiheshimu sana.<br />
<br />
Fufununu hizi zinakuja wiki chache baada ya mbunge wa CCM kuonesha nia ya kutaka kupeleka hoja binafsi bungeni ili kuondoa maswali ya papo kwa papo kwa waziri mkuu kwamba hayana tija.<br />
<br />
Nawasilisha.</span></font>
<br />
<br />

nikawaida ya magamba redio tbc ilisha chakachuliwa sasa wame hamia tv nayo wanataka kuchakachuwa mimi siwaraum nawaraum watanzania nikiwemo na mimi serikali yetu bira maandamano haindi tv na redio vinaendeswa kwa kodi zetu iweje tunyimwe talifa katiba nayo imeweka wazi juu ya kupewa habali tukiingia barabarani watarusha raivu
 
WAKIFANYA HIVYO BASI MASABULI YAO YATAKUWA YANAFANYA KAZI SANA! b
 
Mkuu Mwana wa Daud.

Rai lilipoteza heshima siku Rostam alipolinunua unaposema unaliheshimu sana Rai napata wasi wasi wa ufahamu wako.Inawezekana Rai likarejea kwenye mstari baada ya Rostam kukosana na viongozi wa magamba.

Uwezekano wa kusitisha bunge kutoonyeshwa live ni mkubwa si lazima Rai wakustue unatakiwa kutumia akili ya kawaida kabisa wabunge wa magamba wamepwaya sana wapo wanaojitahidi lakini huwezi kuwalinganisha na wabunge wa magwanda wapo juu sana.Binafsi nimeshangazwa na uwezo mkubwa wa CDM hasa Mheshimiwa John Mnyika,Halima Mdee na T Lissu.

Vikao vya wabunge wa CCM mara nyingi vinalenga kusaidia uoza wa serekali,bunge linapoonyeshwa live huku wabunge wa CCM tayari wamefungwa kofuli la kichama maana yake wanajiwekea mtihani mkubwa kwa wananchi waliowachagua huku wenzao wakitumia fursa hiyo kujipambanua na kujiwekea hazina kubwa kwa wananchi/wapiga kura.
 
Ingewezekana hapo nyuma lakini kwa sasa hawawezi kwasababu hata magamba wenyewe wapo wanotaka Serikali iendelee kugalagazwa. HAWAWEZI maana yake mimi, wewe tunasema hawataweza. TBC ni yetu na hizo habari ni zetu. HAWAWEZI kama wanabisha waambie waanze hata sasa hivi usikie impact yake.
 
Kwa watu ambao akili zao zimechanganyika na haja kubwa kutokana na kufikiri kwa kutumia makalio hilo linawezekana kabisa, si unajua mfa maji haachi kutapatapa hata akiona jani atalishika akiamini kuwa linaweza kumuokoa.
 
Watakuwa wamechemsha, maana hata kwenye vikao vya juu vya CCM (CC,NEC) huwa hakuna live broadcast lakini bado watu wanapata taarifa za kikao minute-by-minute!
 
Back
Top Bottom