huwezi kuwaadhibu wananchi kutokuona kinachoendelea bungeni kwa kizingizio cha wabunge kutokufuata utaratibu na kanuni za bunge na kutoa mada ambazo hazina misingi ni sawa na kusema daladala zote Dar es salaama hamna kutembea maana zinafunja sheria za barabara.Hii inaonyesha dharihi kuwa viongozi wa bunge wameshindwa kazi yake maana kuna sheria za kuwaadhibu wabunge ambao wanaenda kinyume na taratibu za bunge