Halmashauri ya Ilemela kutumia milioni 74 "kuwezesha taarifa ya kamati ya Bunge", Bunge na Halmashauri ya ilemela, mtupe ufafanuzi

chiembe

JF-Expert Member
May 16, 2015
12,003
20,679
Kuna msemo unaosema kwamba, mchawi aliyeua, hulia kwa sauti kubwa na kugaragara siku ya msiba" wabunge wanalia ubadhirifu, upande wa pili, wamelamba fedha ya Wana ilemela, ambayo ingenunua madawati, dawa, kujenga madarasa.

Kamati ya LAAC inaongozwa na mbunge wa Chadema Halima Mdee.

Katika taarifa ambayo Halmashauri ya Ilemela imeweka katika ukurasa wake wa instagram, wameeleza kwamba wametumia milioni 74 kuwezesha taarifa ya kamati ya Bunge inayohusika na serikali za mitaa.

Nadhani hapa panahitaji ufafanuzi, waliwezesha vipi? Waliwalipa posho akina Mdee? "waliwapoza" ? Ni gharama za stationery?

Nadhani hiki kimefanyika Halmashauri zote nchini. Tukipata mzizi wa nini kiliwezeshwa, tutakuwa tunakaribia kulifikoa tatizo.

Nadhani wakurugenzi huchekecha hesabu zao mpaka Wanapata hati chafu ili kuwawezesha, si wabunge tu, Bali hata wakuu wanaohusiana na Halmashauri hizo, hoi inaenda kwa mashirika yote ya umma.

Piga hesabu, kamati ikitembelea Halmashauri 100 kwa mwaka ....karibu bilioni 10. Hawa watu watakosa hati chafu?

Bunge la Tanzania linashindwa kujigharamia mpaka liwezeshwe na ka Halmashauri ka ilemela? Kwa Kodi za wauza sangara, nyanya, mchele?

Huwa Kuna tetesi kwamba ukiwa katika baadhi ya kamati za Bunge, ikiwemo LAAC, unakuwa uko vizuri kwa kuwa Kila Halmashauri hukutengea fungu ili usiiseme vibaya, na Kuna baadhi ya kamati ukipangiwa, unaenda kufa njaa.

Kwako Halima Mdee.
Screenshot_20231104-145902_1.jpg
 
Viongozi wote wanaofanya ziara uchwara Huwa wanalenga walipwe posho mbili ie, walikotoka na wakurugenzi.

Unapoona kiongozi wa mbio za mwenge anamsifu mkurugenzi ujue mkurugenzi kachota pesa akampa.

Ukimuona DC au rc anavunja matofali na kamera ujue wamezungukwa kwenye manunuzi.

Mkurugenzi mtendaji ndiye afisa maokoto mkuu, mla 10%, nk wa halamshauri.


Ukiwa mkurugenzi miaka 4 ukawa masikini wewe ni mpumbavu daraja la kwanza.
 
Viongozi wote wanaofanya ziara uchwara Huwa wanalenga walipwe posho mbili ie, walikotoka na wakurugenzi.

Unapoona kiongozi wa mbio za mwenge anamsifu mkurugenzi ujue mkurugenzi kachota pesa akampa.

Ukimuona DC au rc anavunja matofali na kamera ujue wamezungukwa kwenye manunuzi.

Mkurugenzi mtendaji ndiye afisa maokoto mkuu, mla 10%, nk wa halamshauri.


Ukiwa mkurugenzi miaka 4 ukawa masikini wewe ni mpumbavu daraja la kwanza.
Naam, umesema yote, Kuna mkurugenzi aliyekuwa ilemela, yule mgomvi wa Musukuma, yeye alikuwa anafadhili kampeni za madiwani wote wakati wa uchaguzi, Sasa Hilo Baraza la madiwani litamkabili kwa mfumo gani?
 
Naam, umesema yote, Kuna mkurugenzi aliyekuwa ilemela, yule mgomvi wa Musukuma, yeye alikuwa anafadhili kampeni za madiwani wote wakati wa uchaguzi, Sasa Hilo Baraza la madiwani litamkabili kwa mfumo gani?
Kwa huu mfumo wa kijinga pesa za umma zitapigwa sn
 
Kuna msemo unaosema kwamba, mchawi aliyeua, hulia kwa sauti kubwa na kugaragara siku ya msiba" wabunge wanalia ubadhirifu, upande wa pili, wamelamba fedha ya Wana ilemela, ambayo ingenunua madawati, dawa, kujenga madarasa.

Kamati ya LAAC inaongozwa na mbunge wa Chadema Halima Mdee.

Katika taarifa ambayo Halmashauri ya Ilemela imeweka katika ukurasa wake wa instagram, wameeleza kwamba wametumia milioni 74 kuwezesha taarifa ya kamati ya Bunge inayohusika na serikali za mitaa.

Nadhani hapa panahitaji ufafanuzi, waliwezesha vipi? Waliwalipa posho akina Mdee? "waliwapoza" ? Ni gharama za stationery?

Nadhani hiki kimefanyika Halmashauri zote nchini. Tukipata mzizi wa nini kiliwezeshwa, tutakuwa tunakaribia kulifikoa tatizo.

Nadhani wakurugenzi huchekecha hesabu zao mpaka Wanapata hati chafu ili kuwawezesha, si wabunge tu, Bali hata wakuu wanaohusiana na Halmashauri hizo, hoi inaenda kwa mashirika yote ya umma.

Piga hesabu, kamati ikitembelea Halmashauri 100 kwa mwaka ....karibu bilioni 10. Hawa watu watakosa hati chafu?

Bunge la Tanzania linashindwa kujigharamia mpaka liwezeshwe na ka Halmashauri ka ilemela? Kwa Kodi za wauza sangara, nyanya, mchele?

Huwa Kuna tetesi kwamba ukiwa katika baadhi ya kamati za Bunge, ikiwemo LAAC, unakuwa uko vizuri kwa kuwa Kila Halmashauri hukutengea fungu ili usiiseme vibaya, na Kuna baadhi ya kamati ukipangiwa, unaenda kufa njaa.

Kwako Halima Mdee.
View attachment 2803561
Halmashauri ya Ilemela ndiyo inaongoza Mwanza kwa Barabara mbovu zenye mashimo.Kuna Barabara inatokea Pasiansi Sokoni mpaka PPF Kiseke na kuna Barabara ya kuanzia Airport kupitia Igombe mpaka Kayenze;hizi Barabara ni mbovu na zina vumbi la kutosha!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Wewe umeona hilo tu.

Ni samani gani hizo za 40 M kwenye nyumba ya mkurugenzi?

Mkurugenzi aliyekuwepo au wakurugenzi waliotangulia hawakuwa wakiishi nyumba ya mkurugenzi?

Kwamba kila mkurugenzi anayekuja anajengewa nyumba mpya na kujazwa samani?
 
Kuna msemo unaosema kwamba, mchawi aliyeua, hulia kwa sauti kubwa na kugaragara siku ya msiba" wabunge wanalia ubadhirifu, upande wa pili, wamelamba fedha ya Wana ilemela, ambayo ingenunua madawati, dawa, kujenga madarasa.

Kamati ya LAAC inaongozwa na mbunge wa Chadema Halima Mdee.

Katika taarifa ambayo Halmashauri ya Ilemela imeweka katika ukurasa wake wa instagram, wameeleza kwamba wametumia milioni 74 kuwezesha taarifa ya kamati ya Bunge inayohusika na serikali za mitaa.

Nadhani hapa panahitaji ufafanuzi, waliwezesha vipi? Waliwalipa posho akina Mdee? "waliwapoza" ? Ni gharama za stationery?

Nadhani hiki kimefanyika Halmashauri zote nchini. Tukipata mzizi wa nini kiliwezeshwa, tutakuwa tunakaribia kulifikoa tatizo.

Nadhani wakurugenzi huchekecha hesabu zao mpaka Wanapata hati chafu ili kuwawezesha, si wabunge tu, Bali hata wakuu wanaohusiana na Halmashauri hizo, hoi inaenda kwa mashirika yote ya umma.

Piga hesabu, kamati ikitembelea Halmashauri 100 kwa mwaka ....karibu bilioni 10. Hawa watu watakosa hati chafu?

Bunge la Tanzania linashindwa kujigharamia mpaka liwezeshwe na ka Halmashauri ka ilemela? Kwa Kodi za wauza sangara, nyanya, mchele?

Huwa Kuna tetesi kwamba ukiwa katika baadhi ya kamati za Bunge, ikiwemo LAAC, unakuwa uko vizuri kwa kuwa Kila Halmashauri hukutengea fungu ili usiiseme vibaya, na Kuna baadhi ya kamati ukipangiwa, unaenda kufa njaa.

Kwako Halima Mdee.
View attachment 2803561
Halima Mdee si mwanachama wa Chadema labda ile ya kugushi ya CCM.
 
Hapo ni rushwa tupu pamoja na per diem zao za kwenda Dodoma
Halafu kuna mtu anajinadi kuwa CCM inaleta maendeleo?
Yaani fedha zinakusanywa na kutafunwa kama mchwa baada ya hapo wanaenda kukopa mafedha mengi kwa kigezo kuwa wakati nchi itakapoelemewa na kulipa madeni watakuwa wao sio viongozi tena au wamesha kufa.
Hawana huruma na kizazi kijacho.
 
Halafu kuna mtu anajinadi kuwa CCM inaleta maendeleo?
Yaani fedha zinakusanywa na kutafunwa kama mchwa baada ya hapo wanaenda kukopa mafedha mengi kwa kigezo kuwa wakati nchi itakapoelemewa na kulipa madeni watakuwa wao sio viongozi tena au wamesha kufa.
Hawana huruma na kizazi kijacho.
Shida rushwa inaanzia juu kushuka chini, kama Mawaziri wanaiba kwanini DEDs nao wasiibe wapate na pesa za kwenda kugombea majimboni?
 
Back
Top Bottom