kibol
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 4,512
- 2,730
This is silly!! Kama kanuni zipo na zinavunjwa, kwa nini wahusika wasichukuliwe hatua kwa mujibu wa taratibu za uendeshaji wa bunge badala ya kuwaadhibu wananchi kwa kuwanyima haki ya kujua nini kinaendelea bungeni kwa wakati huo (live dialogue) kwa maendeleo ya wananchi wenyewe. Ama ukubwa wa pua si wingi wa makamasi. Magamba walidhani kuwa wengi bungeni watakuwa na hoja za maana kumbe wengi wao ni Low Thinkers!!, Chezea CDM!!
ccm wanatakiwa waelewe tatizo haliwezi kutatuliwa kwa kuunda tatizo lingine,watafute namna nyingine ya kukabiliana wao kwa wao lakini haki ya sisi wananchi wa kawaida kujua kinachoendelea ktk bunge letu lililokosa utukufu ibaki pale pale na sio kutuchagulia hichi tukifahamu hichi tusikifahamu hilo halikubaliki kwasababu huko ni kuvunja uhuru wa vyombo nchini.