Munambefu
JF-Expert Member
- Jun 24, 2012
- 2,608
- 6,503
Mtoa mada umekurupuka na maoni yaliyotolewa na mbunge mmoja wa viti maalum CDM aliyetaka muhula ubadilishwe ili kuzuia waalimu wa advance wasiondoke kwenda kusahihisha mitihani ya six huku wakiwaacha five bila kusoma.Ulivyoiweka mada umeweka kama ndio msimamo wa serikali na kupotosha wachangiaji wengi