Breaking neeeeewz

Mfukunyuzi

Senior Member
May 30, 2012
125
9
kuanzia mwaka 2013 mtihani wa kumaliza elimu ya kidato cha sita utafanyika mwezi mei na ule wa kidato cha nne utafanyika mwezi novemba, je kama mwana jamii forums unafikiri mabadiliko haya yanaweza leta tija katka elimu ye2, pia waliobadilisha enzi zile na kuleta mihula mipya walifikiri sawasawa au ndo matokeo ya sera za liwalo na liwe? Je elimu ya tz itaendelea kuyumbishwa mpaka lini.? Tutafakari kwa kina. Naomba kuwasilisha wakuu
 
kuanzia mwaka 2013 mtihani wa kumaliza elimu ya kidato cha sita utafanyika mwezi mei na ule wa kidato cha nne utafanyika mwezi novemba, je kama mwana jamii forums unafikiri mabadiliko haya yanaweza leta tija katka elimu ye2, pia waliobadilisha enzi zile na kuleta mihula mipya walifikiri sawasawa au ndo matokeo ya sera za liwalo na liwe? Je elimu ya tz itaendelea kuyumbishwa mpaka lini.? Tutafakari kwa kina. Naomba kuwasilisha wakuu

Ndivyo ilivyookuwa miaka ile mitihani ya cha 6 Mei na cha 4 Oct/November na unasubiri hadi mwaka mwingine July unaingia cha 5 kama umefuzu. Kazi ipo! Siku hizi hata sikumbuki ratiba za mitihani yao tena maana kila siku mabadiliko.
 
Hivi kwa nini elimu yetu inayumbishwa namna hii? Kwa nini kusiwe na a sort of national conference kujadili masuala haya yanayohusu elimu kuliko watu wachache kufanya maamuzi ambayo yanaathiri nchi nzima? Nilidhani haya mambo yalishaondoka na Mungai!
 
kila waziri wa elimu anakuja na lake mara mtihani wa form 2 upo,mara unafutwa just bla blaah
 
kuanzia mwaka 2013 mtihani wa kumaliza elimu ya kidato cha sita utafanyika mwezi mei na ule wa kidato cha nne utafanyika mwezi novemba, je kama mwana jamii forums unafikiri mabadiliko haya yanaweza leta tija katka elimu ye2, pia waliobadilisha enzi zile na kuleta mihula mipya walifikiri sawasawa au ndo matokeo ya sera za liwalo na liwe? Je elimu ya tz itaendelea kuyumbishwa mpaka lini.? Tutafakari kwa kina. Naomba kuwasilisha wakuu

Hata wakibadili kalenda ya mitihani kila mwaka kama hakuna mipango ya kueleweka n kaz bure.
 
kuanzia mwaka 2013 mtihani wa kumaliza elimu ya kidato cha sita utafanyika mwezi mei na ule wa kidato cha nne utafanyika mwezi novemba, je kama mwana jamii forums unafikiri mabadiliko haya yanaweza leta tija katka elimu ye2, pia waliobadilisha enzi zile na kuleta mihula mipya walifikiri sawasawa au ndo matokeo ya sera za liwalo na liwe? Je elimu ya tz itaendelea kuyumbishwa mpaka lini.? Tutafakari kwa kina. Naomba kuwasilisha wakuu

Tatizo nchi hii elimu si kipaumbele....thats why things are always changing...Tanzania have hopeless leaders
 
kuanzia mwaka 2013 mtihani wa kumaliza elimu ya kidato cha sita utafanyika mwezi mei na ule wa kidato cha nne utafanyika mwezi novemba, je kama mwana jamii forums unafikiri mabadiliko haya yanaweza leta tija katka elimu ye2, pia waliobadilisha enzi zile na kuleta mihula mipya walifikiri sawasawa au ndo matokeo ya sera za liwalo na liwe? Je elimu ya tz itaendelea kuyumbishwa mpaka lini.? Tutafakari kwa kina. Naomba kuwasilisha wakuu

Source mkuu!

Hata hivyo km ndivyo naona kuna information breakdown hapa....hawajulishani sababu mahususi za kutoka mpango "A " kwenda "B", ndiyo maana akija mtu mwingine anarudi kule kule. Ninachokumbuka sababu za kurudisha nyuma mtihani wa form six kutoka May kuja February....ni kuwezesha watakaohitimu form six wajiunge na vyuo same year.Sasa ikienda may je hili litawezekana? Maana results zitatoka July au August,Vyuo vinafungua September....hapa si tutarudi enzi zile za kusubiri mwaka mmoja na miezi 4?
 
Hapa wamenikumbusha Yule waziri wa zamani wa wizara husika (Elimu), Joseph Mungai kufuta michezo katika shule zote za msingi na sekondari kwa wakti huo.
 
dah kwa kweli me napata wasiwasi na watendaji wa hii serikali kila kukicha wao wanafanya blaa, sasa hv wanavyopitisha hoja hapo ni kusema ndiyooo afu ukiwauliza walichopitisha hata hawajui hawa ndo chanzo cha huu mkanganyiko
 
Source mkuu!

Hata hivyo km ndivyo naona kuna information breakdown hapa....hawajulishani sababu mahususi za kutoka mpango "A " kwenda "B", ndiyo maana akija mtu mwingine anarudi kule kule. Ninachokumbuka sababu za kurudisha nyuma mtihani wa form six kutoka May kuja February....ni kuwezesha watakaohitimu form six wajiunge na vyuo same year.Sasa ikienda may je hili litawezekana? Maana results zitatoka July au August,Vyuo vinafungua September....hapa si tutarudi enzi zile za kusubiri mwaka mmoja na miezi 4?

wenyewe wanadai kuwa wameshaongea na tcu wanasema inawezekana
 
Nchi hii tunaendeshwa kama maboga. Yani mtu akiongea mke wake nyumbani anakuja kufanya mabadiliko yanayowaathiri watanzania milioni 45+.
 
Hi ndio Tz.Mwaka 2005 wakafuta masomo ya biashara (book-keeping na comerce) yakarudishwa tena 2006.
 
taratibu wanakuja, mwishowe watasema ukimaliza six may, june jkt then chuo mwaka unaofuata kama enzi za mwalimu. HII WIZARA YA ELIMU INAMABADILIKO KILA WAZIRI MPYA ANAPOINGIA.
HII NDO AFRICA, EVERY IMPOSSIBLE IS POSSIBLE IN TANZANIA
 
nafikiri ni kutokujitambua kama taifa,hatujiandai ipasavyo si kisera wala kimipango na vipaumbele vinavyoainishwa kwenye maeneo mbalimbali kama vile elimu havieleweki so kilichobaki ndo hivi sasa kujaribu jaribu kama tutafanikiwa
 
Back
Top Bottom