shomi_iddy
Member
- Mar 10, 2024
- 13
- 16
- Thread starter
- #21
sawa mkuu
sawa mkuu
hili swali tusaidieni jmnhivi inawezekanaje hii, Gar hiyo GT inauza 18 ukiagiza mpk imefika dar na ushuru ikawa 15 then watu wa hapa hapa bongo yard zinauza 35 inamaana wanapata faida 1.5 kweli kaka au nimeelewa vibaya
wale wanachezesha CIF gari inakuja na CIF ndogo zaidi maana kodi inapigiwaga kwenye CIFhili swali tusaidieni jmn
kivipi mkuu tupe vitu in deepwale wanachezesha CIF gari inakuja na CIF ndogo zaidi maana kodi inapigiwaga kwenye CIF
Muagizaji magari pesa anaipata kwa style tofauti.kivipi mkuu tupe vitu in deep
oooh kumbeee nimekuelewa mkuu nashukur sanaaMuagizaji magari pesa anaipata kwa style tofauti.
1. Anapoagiza magari kwa wingi anapewa punguzo la bei japan hivyo kufanya CIF kuwa chini tofauti na wewe.Akija bongo atalipa kodi tofauti na wewe.
2. Ananunua gari kwenye auctions ama minada. Huko gari zinapatikana kwa bei chee sana kwa madaraja tofauti.
3.Anapokuagizia kuja bongo anakuongezea cha juu japo utaona anapata kidogo ila anakunyoosha sababu yeye kanunua mfano gari unayoona ni $5,300 yeye kauziwa labda $3,500. Akija anakupiga za kichwa hakosi 5-6M kila gari ikiwa fully paid.
kwa hiyo kama unahitaji kuagiza mwenyewe ni better uende pale pale mfano sbt ya tanzania ofisin lazima itakuwa chinioooh kumbeee nimekuelewa mkuu nashukur sanaa
pamoja mkuuoooh kumbeee nimekuelewa mkuu nashukur sanaa
Hiyo ni bei ya Sedan, TRA hawana GT kwenye calculator yao.hivi inawezekanaje hii, Gar hiyo GT inauza 18 ukiagiza mpk imefika dar na ushuru ikawa 15 then watu wa hapa hapa bongo yard zinauza 35 inamaana wanapata faida 1.5 kweli kaka au nimeelewa vibaya