shomi_iddy
Member
- Mar 10, 2024
- 13
- 16
habari ndugu naomba kujua vizuri kuhusu bmw 3series gt 2013 - 2015 au 5series gt uzuri wake na ubaya pia
Mzee hii 5 GT hata ya 2015 bei yake inaendaje?Hapa tukianza kuandika watasema tunamchukia Mjerumani. Ila kusema kweli hizo BMW kama una pochi nene ni gari tamu sana.
Tuanze na BMW.
BMW 3 series ya mwaka 2013 ni F30 ni Generation ya 6 ya 3 series na iliishia 2020 ikapokelewa na G20.
Kwa 5 series huo mwaka 2013 ilikua Generation ya 6 pia ambayo ni F10 ila yenyewe ilianza 2010 ikaisha 2016 ikapokelewa na G30.
Tuje GT.
GT kwenye BMW ni Kirefu cha Gran Turismo, wengine wanasema Grand Tour. Kilichobadirika sana ni body style (imekua crossback sio sedan), suspensions zimekua more comfort, sportier look, ila performance usitegemee muujiza ni almost sawa na original wake.
Kuhusu availability ya spare, GT wanashare parts nyingi na original wao ila pia wana baadhi ya parts ni unique yaani ni za GT tu sasa izo kidogo itakua challenge kuzipata maana hapa Dar kuziona GT kwa mwezi unaweza pishana nazo mbili tu.
Sijakutana nayo inayouzwa, ila 3 Series GT za 2013, 2014 na 2015 nimeziona mostly ni Mil 35, hadi 39 zinauzwa. Ila used hapa Bongo sasa sijui ukiagiza inafika hivo au.Mzee hii 5 GT hata ya 2015 bei yake inaendaje?
BF wanakupa 2014 GT kwa Mil 18 kabla ya Ushuru.Mzee hii 5 GT hata ya 2015 bei yake inaendaje?
Ahsante sana mkuu.BF wanakupa 2014 GT kwa Mil 18 kabla ya Ushuru.
View attachment 2935461
Hafu Ushuru Mil 15 za Tanzania.
View attachment 2935464
Jumla kama 32 hivi.
Tofauti kidogo sana kwanza zina engine ndogo izo GT ni 2.0L mostly, tofauti na sedan zake ni hizi ni fastback yaani shape zilitaka kua kama X6. Pia GT wheel base ndefu, zipo juu kidogo, kuna mabadiriko kwenye suspension basi.Ahsante sana mkuu.
Kuna janki flani nilimcheki na hii gari nilikariri tu hio GT, ila nilipenda muonekano, na nilikuwa najiuliza hii ni bmw model ipi?
Perfomance yake iko vipi compare na 3 series ambayo ni saloon?
Nashukuru sana mkuu.Tofauti kidogo sana kwanza zina engine ndogo izo GT ni 2.0L mostly, tofauti na sedan zake ni hizi ni fastback yaani shape zilitaka kua kama X6. Pia GT wheel base ndefu, zipo juu kidogo, kuna mabadiriko kwenye suspension basi.
Ukitaka performance nenda M version. Mfano M3.
Ila BM ziangalie tu. Zinavutia zikiwa. Kwa. Mwenzako. Tafuta Sedan kali ya Japan mfano Honda Accord flani.Nashukuru sana mkuu.
Kwanini mkuu unasema hivyo?Ila BM ziangalie tu. Zinavutia zikiwa. Kwa. Mwenzako. Tafuta Sedan kali ya Japan mfano Honda Accord flani.
Sumu haionjwi.Kwanini mkuu unasema hivyo?
Warakuja wafia BM wanamaind. Ila kama haupo njema sanaaaa, ishi JapanKwanini mkuu unasema hivyo?
Hapana this time ngoja tuishi na mkoloni tu.Warakuja wafia BM wanamaind. Ila kama haupo njema sanaaaa, ishi Japan
Ukweli mchunguWarakuja wafia BM wanamaind. Ila kama haupo njema sanaaaa, ishi Japan
Kizuri lazima ugharamike.Sumu haionjwi.
ni USD 6454Mzee hii 5 GT hata ya 2015 bei yake inaendaje?
hivi inawezekanaje hii, Gar hiyo GT inauza 18 ukiagiza mpk imefika dar na ushuru ikawa 15 then watu wa hapa hapa bongo yard zinauza 35 inamaana wanapata faida 1.5 kweli kaka au nimeelewa vibayaBF wanakupa 2014 GT kwa Mil 18 kabla ya Ushuru.
View attachment 2935461
Hafu Ushuru Mil 15 za Tanzania.
View attachment 2935464
Jumla kama 32 hivi.