Hapa tukianza kuandika watasema tunamchukia Mjerumani. Ila kusema kweli hizo BMW kama una pochi nene ni gari tamu sana.

Tuanze na BMW.
BMW 3 series ya mwaka 2013 ni F30 ni Generation ya 6 ya 3 series na iliishia 2020 ikapokelewa na G20.

Kwa 5 series huo mwaka 2013 ilikua Generation ya 6 pia ambayo ni F10 ila yenyewe ilianza 2010 ikaisha 2016 ikapokelewa na G30.

Tuje GT.
GT kwenye BMW ni Kirefu cha Gran Turismo, wengine wanasema Grand Tour. Kilichobadirika sana ni body style (imekua crossback sio sedan), suspensions zimekua more comfort, sportier look, ila performance usitegemee muujiza ni almost sawa na original wake.

Kuhusu availability ya spare, GT wanashare parts nyingi na original wao ila pia wana baadhi ya parts ni unique yaani ni za GT tu sasa izo kidogo itakua challenge kuzipata maana hapa Dar kuziona GT kwa mwezi unaweza pishana nazo mbili tu.
 
Hapa tukianza kuandika watasema tunamchukia Mjerumani. Ila kusema kweli hizo BMW kama una pochi nene ni gari tamu sana.

Tuanze na BMW.
BMW 3 series ya mwaka 2013 ni F30 ni Generation ya 6 ya 3 series na iliishia 2020 ikapokelewa na G20.

Kwa 5 series huo mwaka 2013 ilikua Generation ya 6 pia ambayo ni F10 ila yenyewe ilianza 2010 ikaisha 2016 ikapokelewa na G30.

Tuje GT.
GT kwenye BMW ni Kirefu cha Gran Turismo, wengine wanasema Grand Tour. Kilichobadirika sana ni body style (imekua crossback sio sedan), suspensions zimekua more comfort, sportier look, ila performance usitegemee muujiza ni almost sawa na original wake.

Kuhusu availability ya spare, GT wanashare parts nyingi na original wao ila pia wana baadhi ya parts ni unique yaani ni za GT tu sasa izo kidogo itakua challenge kuzipata maana hapa Dar kuziona GT kwa mwezi unaweza pishana nazo mbili tu.
Mzee hii 5 GT hata ya 2015 bei yake inaendaje?
 
Mzee hii 5 GT hata ya 2015 bei yake inaendaje?
Sijakutana nayo inayouzwa, ila 3 Series GT za 2013, 2014 na 2015 nimeziona mostly ni Mil 35, hadi 39 zinauzwa. Ila used hapa Bongo sasa sijui ukiagiza inafika hivo au.

Screenshot_20240315-163415.png
Screenshot_20240315-163431.png
Screenshot_20240315-163455.png
Screenshot_20240315-163544.png
 
Ahsante sana mkuu.

Kuna janki flani nilimcheki na hii gari nilikariri tu hio GT, ila nilipenda muonekano, na nilikuwa najiuliza hii ni bmw model ipi?

Perfomance yake iko vipi compare na 3 series ambayo ni saloon?
Tofauti kidogo sana kwanza zina engine ndogo izo GT ni 2.0L mostly, tofauti na sedan zake ni hizi ni fastback yaani shape zilitaka kua kama X6. Pia GT wheel base ndefu, zipo juu kidogo, kuna mabadiriko kwenye suspension basi.

Ukitaka performance nenda M version. Mfano M3.
 
Back
Top Bottom