Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,759
- 5,289
Habari gani wakuu! Tangu asubuhi ya leo hii kila nikijaribu kufungua blog yangu haifunguki,nikahisi labda ni network lakini mpaka saizi naona kimya,then nikapata wazo la kufungua blog spot zingine kama ile ya michuzi nayo haifunguki.je kuna tatizo gani ?? Mwenye kujua tafadhali atujuze