Hapo cha kufahamu ni je ilikuwa inatumika na mtandao gani nje?Wadau kuna blackberry nimetumiwa kutoka nje aina ni script naona haina lain,je wakuu hakuna visoftware tunaweza kuiongiza ndani yake tukatumia lain za bongo?wajanja nipeni utundu
Nambie ni blackberry gani hiyo nitakusaidia.ni pm kama vip