Jamani kama unahitaji mke siyo gf, naomba nipm
binti yangu ameniomba nimtafutie, siyo ameshindwa ila ni utaratibu tulio kubaliana naye
uwe mrefu
mcheshi
unaye penda suti
gari lolote jipya dogo
uwe na pesa za kawaida, nyingi si kikwazo
binti yangu anaumri wa miaka 20
ana masters ya sheria (haki za binadamu).
inawezekana kama wanaishi nje ya tz koz huku hakuna cha form five na six ni kwamba watu wakitoka primary wanazama college au university...........so its possible meeeensouds kama joke flan hivi!
af masters ya sheria na miaka 20??
mh! si bishi ila nadoubt sana.
anyway, kila la kheri.
souds kama joke flan hivi!
af masters ya sheria na miaka 20??
mh! si bishi ila nadoubt sana.
anyway, kila la kheri.
darasa la kwanza miaka 4
binti yangu anaumri wa miaka 20
ana masters ya sheria (haki za binadamu).
Jamani kama unahitaji mke siyo gf, naomba nipm
binti yangu ameniomba nimtafutie, siyo ameshindwa ila ni utaratibu tulio kubaliana naye
uwe mrefu
mcheshi
unaye penda suti
gari lolote jipya dogo
uwe na pesa za kawaida, nyingi si kikwazo
binti yangu anaumri wa miaka 20
ana masters ya sheria (haki za binadamu).