Utawala2025
JF-Expert Member
- Oct 20, 2023
- 347
- 1,082
Habari.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 32. Kuna mdada nilianza nae mahusiano mwaka 2019 na nilikuwa serious nae katika mahusiano hayo muda huo mimi nilikuwa nimetoka kumaliza chuo. Nadhani unaelewa mtu akitoka chuo anavyokuwa na matarajio lukuki.
Baada ya muda mambo yangu nilivyoona hayaendi nilivyotarajia ikabidi nifanye uamuzi wa kuachana na huyu dada na kuendelea na Maisha ya upambanaji sababu kubwa iliyofanya mimi nisitishe mahusiano ni pindi Binti yupo kwenye pick ya kunipenda na akiwa na future ma mimi na akihitaji kuolewa nami ila mimi sikuwa na mpango huo baada ya mambo yangu kuwa Ovyo.
Ilapita miaka mingi kidogo mwaka 2023 nilibahatika kumtafuta kwenye mitandao ya kijamii baada ya kuona picha zake anavutia niliomba turudishe uhusiano upya kwa mara ya pili alisita kidogo ila kwa kuwa bado ananipenda akanikubalia.
Tulianza mahusiano upya yenye furaha na future ya kuja kuona baadae hapa mimi nikiwa nimeshapata kazi na yeye akifanya biashara.
Kufupisha stori binti alikuja kupata ujauzito katika kipindi sijajiandaa ,nikamwambia alee tu.
Mungu amesaidia akajifungua mtoto wa kiume.
Ila kwa sasa upendo umeshuka sio kama zamani.
Nimejikuta namchukia.
Simpendi tena.
Sina hamu nae ya penzi.
Natamani hata nivunje nae mahusiano nibaki kulea mtoto.
Naombeni ushauri kwa mlippitia hii hali.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 32. Kuna mdada nilianza nae mahusiano mwaka 2019 na nilikuwa serious nae katika mahusiano hayo muda huo mimi nilikuwa nimetoka kumaliza chuo. Nadhani unaelewa mtu akitoka chuo anavyokuwa na matarajio lukuki.
Baada ya muda mambo yangu nilivyoona hayaendi nilivyotarajia ikabidi nifanye uamuzi wa kuachana na huyu dada na kuendelea na Maisha ya upambanaji sababu kubwa iliyofanya mimi nisitishe mahusiano ni pindi Binti yupo kwenye pick ya kunipenda na akiwa na future ma mimi na akihitaji kuolewa nami ila mimi sikuwa na mpango huo baada ya mambo yangu kuwa Ovyo.
Ilapita miaka mingi kidogo mwaka 2023 nilibahatika kumtafuta kwenye mitandao ya kijamii baada ya kuona picha zake anavutia niliomba turudishe uhusiano upya kwa mara ya pili alisita kidogo ila kwa kuwa bado ananipenda akanikubalia.
Tulianza mahusiano upya yenye furaha na future ya kuja kuona baadae hapa mimi nikiwa nimeshapata kazi na yeye akifanya biashara.
Kufupisha stori binti alikuja kupata ujauzito katika kipindi sijajiandaa ,nikamwambia alee tu.
Mungu amesaidia akajifungua mtoto wa kiume.
Ila kwa sasa upendo umeshuka sio kama zamani.
Nimejikuta namchukia.
Simpendi tena.
Sina hamu nae ya penzi.
Natamani hata nivunje nae mahusiano nibaki kulea mtoto.
Naombeni ushauri kwa mlippitia hii hali.