Mkuu hii comment yako yaani nimejikuta na nacheka...Duu
Mama anamjaza kibri mwanae asijekusumbuliwa na mwanamme. ..!
Mama anamjaza kibri mwanae asijekusumbuliwa na mwanamme. ..!
Nilijua hujamzoea ndo Maana umeleta Mada hii..
Kumbuka hawa wanawake wanapoenda kusoma mama zao huwaambia.
"Soma mwanangu ili mwanaume asikuangaishe"
Kwahiyo wanapachikwa chuki na Dharau kwa mwanaume atakaempata .
Kwahiyo Subiri kwa Mda wa Miaka kadhaa ndo Utaona kama anakupenda Ama La.
Kama atakupenda zaidi. Basi atakuwa 1 in 1000,000