My God! Uko sayari ya ngapi? Akikuchoka na anajeuri ya fedha unaweza kuomba utangulie mbele za Mungu. Jitahid usimame mwenyewe bila kumtegemea, hapo mtadumu.
uoga wako wa wanawake wasomi na wenye kipato cha juu usiupakaze kwa mwenzio,mwanamke 'beijing' as you put it sio lazima awe msomi na mwenye kipato cha juu,wapo wanawake wengi hawajasoma na wanapelekesha wanaume wao sijui utasemaje kuhusu hili......?
kwa hio wewe shida yako mwanaume asipike??? kwani umemuoa punda akufanyie kazi za nyumbani?kuna ubaya gani mwanaume akipika?au mnataka msaidiwe kipato tu na msisaidie kazi za nyumbani.......?maisha ni kusaidiana babu wee iwe kipato iwe kazi za nyumbani,kama unampenda mkeo utajali hisia zake sio lazima kila siku apike.....!
Wale wale lakini.
Nadhani hujasoma nilichoandika Vizuri.
Kwahiyo na wewe ungependa mwanaume ambaye atakutegemea ili uwe unamwambia akupikie
Mambo kama haya yanatokea na hakuna Ndoa inayodumu kama Mwanamke aki Dominate
Kwa nini uichukulie kama permanent situation? Wewe piga kazi na unaweza kumzidi pia. Yaani hata ukitafuta uliyemzidi anaweza akafanya bidii akakuzidi mkiwa kwenye ndoa. Au ndio utakuwa unamkataza kujiendeleza au kusoma zaidi? Mambo ya kawaida. Kama unampenda go for it.
Huyu dada mbali na kua na sifa zote za urembo nizitakazo mimi ingawa ni mrefu zaidi yangu bt ananikubari,,,,,yeye ni msomi kuliko mimi tena kaniacha mbali tu,anakazi yake nzuri tu
,i mean tayari anajitegemea na mimi ndio kwanza nimemaliza kaelimu kangu furani ngazi ya diploma hivo bado sina kazi lakini sasa ananifanyia mpango wa kazi yeye mwenyewe..kiukweli kabisa binti ananipenda hasa c kwa maneno ni kwa vitendo zaidi,,sasa hofu yangu ni:kanizidi kila kitu,elimu,uwezo,umri pia kaniacha mwaka mmoja.swali kwa wazoefu na hizi mambo je hakuna tatizo mbeleni kwa uhusiano huu hata nikimwoa?
Huyu dada mbali na kua na sifa zote za urembo nizitakazo mimi ingawa ni mrefu zaidi yangu bt ananikubari,,,,,yeye ni msomi kuliko mimi tena kaniacha mbali tu,anakazi yake nzuri tu
,i mean tayari anajitegemea na mimi ndio kwanza nimemaliza kaelimu kangu furani ngazi ya diploma hivo bado sina kazi lakini sasa ananifanyia mpango wa kazi yeye mwenyewe..kiukweli kabisa binti ananipenda hasa c kwa maneno ni kwa vitendo zaidi,,sasa hofu yangu ni:kanizidi kila kitu,elimu,uwezo,umri pia kaniacha mwaka mmoja.swali kwa wazoefu na hizi mambo je hakuna tatizo mbeleni kwa uhusiano huu hata nikimwoa?
hapa nitarudi kesho hangover zikiwa zimepungua maana sasa nimekosa neno
Huyu dada mbali na kua na sifa zote za urembo nizitakazo mimi ingawa ni mrefu zaidi yangu bt ananikubari,,,,,yeye ni msomi kuliko mimi tena kaniacha mbali tu,anakazi yake nzuri tu
,i mean tayari anajitegemea na mimi ndio kwanza nimemaliza kaelimu kangu furani ngazi ya diploma hivo bado sina kazi lakini sasa ananifanyia mpango wa kazi yeye mwenyewe..kiukweli kabisa binti ananipenda hasa c kwa maneno ni kwa vitendo zaidi,,sasa hofu yangu ni:kanizidi kila kitu,elimu,uwezo,umri pia kaniacha mwaka mmoja.swali kwa wazoefu na hizi mambo je hakuna tatizo mbeleni kwa uhusiano huu hata nikimwoa?
Wengi watakujibu hakuna tatizo(kweli kwa juujuu hakuna tatizo- Na tena pia mkiwa a lot good psychologically hakuna tatizo pia). Ila katika mabonde na milima ya maisha, those differences will be paying u guys a visit every now and then. Swali ni kwamba una uwezo wa kuvumilia pale mwenzio anapofanya kitu na ukawa na hisia 99.9999% kwamba kafanya hivyo kwa sababu ya kitu fulani alichokuzidi? what if kaingia majaribuni na kaexercise hiyo power kikweli? will u be able to still hold on to marriage? Chunguza ur inner working, una tolerance kiasi gani mkeo akifanya dharau kisa kakuzidi kitu? kwa sababu let me tell u-ukichukulia upendo kama hisia kuna muda hautokuwepo kabisa(its the ups and downs)...Tafakari chukua hatua,...