Kuna jamaa yangu hapa yupo standby anasubiri ushauri ili afanye kweli/achumbie.
Bado hawajafanya lolote hadi sasa(HAWAJAGUSANA) ndio maana spidi yake kali, yaani kilomita 1000 kwa saa. Mchumba anaemtaka ni binamu yake kabisa.
Bahati nzuri hapa JF kuna mashehe,wachungaji,watu na busara zao na watu wa kila kabila,mnasemaje RUHSA KUOA BINAMU AU SI RUHSA?
Bado hawajafanya lolote hadi sasa(HAWAJAGUSANA) ndio maana spidi yake kali, yaani kilomita 1000 kwa saa. Mchumba anaemtaka ni binamu yake kabisa.
Bahati nzuri hapa JF kuna mashehe,wachungaji,watu na busara zao na watu wa kila kabila,mnasemaje RUHSA KUOA BINAMU AU SI RUHSA?