Bila UMAFIA hujawa tajiri bado. Umafia ndio dira ya utajiri

Hamna tajiri ana expose siri zake. Wewe ulikuwa unamuona tu huko Kariakoo, lakini ya ndani mwake huyajui
Qur'an imeweka wazi kabisa kwa mwenye kuelewa. Anza:

Qur'an 2:261. Mfano wa wanao tumia mali zao katika Njia ya Mwenyezi Mungu ni kama mfano wa punje moja iliyo chipuza mashuke saba. Katika kila shuke zimo punje mia. Na Mwenyezi Mungu humzidishia amtakaye, na Mwenyezi Mungu ni Mwenye wasaa na Mwenye kujua. 261

Piga hesabu ya hiyo aya kama utaimaliza. Hiyo njia ya mkato ya kupata utajiri usio na mfano.
 
Mipango ya Mungu au Shetani pia. Yesu alionyeshwa miliki yote ya dunia akisujudu tu! Lakin kwa upande wa Mungu pia lazima ufanye Kazi kubwa wewe ili vizaz vyako ndo vije kurithi mfano Daudi pamoja na kwamba ulikua ni Mapango wa Mungu lakini aliua ma elfu elfu kuweka njia sawa ndo kina warithi kina suleiman wanakuja kura raha na madem zake
 
Qur'an imeweka wazi kabisa kwa mwenye kuelewa. Anza:

Qur'an 2:261. Mfano wa wanao tumia mali zao katika Njia ya Mwenyezi Mungu ni kama mfano wa punje moja iliyo chipuza mashuke saba. Katika kila shuke zimo punje mia. Na Mwenyezi Mungu humzidishia amtakaye, na Mwenyezi Mungu ni Mwenye wasaa na Mwenye kujua. 261

Piga hesabu ya hiyo aya kama utaimaliza. Hiyo njia ya mkato ya kupata utajiri usio na mfano.
 
Qur'an imeweka wazi kabisa kwa mwenye kuelewa. Anza:

Qur'an 2:261. Mfano wa wanao tumia mali zao katika Njia ya Mwenyezi Mungu ni kama mfano wa punje moja iliyo chipuza mashuke saba. Katika kila shuke zimo punje mia. Na Mwenyezi Mungu humzidishia amtakaye, na Mwenyezi Mungu ni Mwenye wasaa na Mwenye kujua. 261

Piga hesabu ya hiyo aya kama utaimaliza. Hiyo njia ya mkato ya kupata utajiri usio na mfano.
Fafanua.
Maana 7x100=700 hata robo kilo hupati
 
.....inaendelea....huyo tajiri kimsingi nimesoma nae darasa moja shule ya msingi hakuwa na uwezo darasani....form 4 alipata div 4....ila ametubeba sana kwenye makampuni yake.....washkaji wengine wana CPA lakini wanapewa maisha na huyu tajiri.......nakumbuka kuna siku tulikuwa nae Iringa......tulifunga mamilioni cha ajabu....sie asubuhi tunakunywa supu,yeye anakunywa maji ya uvuguvugu,mchana tunapata lunch yeye akaenda sehemu yenye kilabu cha pombe aka agiza kande za jelo...sie usiku tuna choma nyama na kuhangaika na pombe na upuuzi mwingine...yeye kitambo yupo chumbani na mavitabu yake......itaendelea.....
 
Sijawahi kumuona wala kusikia Bakhresa akifanya hivyo na tumeishi nae Kariakoo kwa miaka mingi sana.

Nani kakuambia umafia wa matajiri utausikia direct??
...umafia wa watu wenye fedha nyingi upo very technical!!!
Utaishia kusikia za juu juu tu, na mengine ya kimafia huwezi kuyasikia popote hata kama mhusika ni mtu wako wa karibu kiasi gani, iwe ni mtu wa smile kila wakati, moyo wa huruma n.k!!
 
Back
Top Bottom