M-pesa
JF-Expert Member
- Sep 4, 2011
- 602
- 151
Shida ni kwamba hakuna sheria inayotoa ruhusa kwa sex workers! Kwa hiyo sahau kutumia neno legal business.
Nakushauri ingia kwa pazia la escort business. Hiyo itatambulika kisheria lakini mambo yatakayokuwa yanaendelea ni kama hayo unayoyataka wewe.
Nakushauri ingia kwa pazia la escort business. Hiyo itatambulika kisheria lakini mambo yatakayokuwa yanaendelea ni kama hayo unayoyataka wewe.
mkuu m pesa ishu ni kwamba nitatangaza nafasi za kazi na wale watakaokuwa interested nikiridhika nao basi tutasaini mkataba ambao utampa haki zote kama waajiriwa wengine.. Ndiyo maana nataka kuifanya iwe legal bussines!