Biashara ya Danguro..

TANMO

JF-Expert Member
Apr 12, 2008
11,467
11,166
Wakuu kutokana na hali halisi ya uhaba wa nafasi za ajira nchini mwetu, pamoja na msisitizo kutoka Serikalini kuwa vijana tutafute namna ya kujiajiri kwa kufanya biashara halali basi ninafikiria kuanzisha hii biashara kama mwitikio wa ushauri wa viongozi wetu kuhusu kujiajiri. Hivyo basi kutokana na vijisenti nilivyobakiwa navyo (ambavyo vinakaribia kuisha), nimefikiria aina nyingi sana za biashara lakini asilimia kubwa tayari zina ushindani mkubwa. Hivyo ninafikiria kutafuta nyumba kwa ajili ya utoaji wa huduma hii kwa wateja.

Kwa kuanzia nitaajiri watanzania wenzangu (Mabinti 10) ili nao pia waweze kujipatia kipato cha kujikimu, huko mbeleni nitaifanya biashara iwe ya kimataifa zaidi kwa kuajiri pia wageni, hususani kutoka mabara ya Ulaya, Asia pamoja na Amerika ya Kusini. Wafanyakazi wangu wote nitahakikisha wanapimwa afya zao kila mwezi ili kuweza kujihakikishia usalama wa wateja wangu.

Pia nitaingia mkataba na Kampuni ya Ulinzi na eneo langu la biashara litakuwa na Ulinzi masaa 24. Ninaangalia pia utaratibu wa kufungua massage parlor ambayo itakuwa inatoa huduma za massage hususani erotic massage kwa wale ambao hawatahitaji huduma nyingine.

Sasa basi, ningependa kupata ushauri wenu wadau, ni maeneo gani yanafaa kufungua hii biashara (ninafikiria Ubungo ama Mwenge, naomba mawazo yako). Pia kuweza kufahamu utaratibu wa kufuata ili kuweza kupata kibali cha Serikali ili niweze kuanza biashara (ili niweze kuchangia Taifa langu kwa kulipa kodi).

Kwa yeyote aliyewahi kuifanya hii biashara naomba kujua ni changamoto gani nitaweza kukumbana nazo kwenye huu uwekezaji?

Ni matumaini yangu kuwa mtanipa mawazo kuntu.
Asanteni sana.

Mapendo
TANMO.
 
Kemea Ushetani, maana Mungu anawapenda sana wavumimilivu, hivyo zamu yako inakuja wala hamna haja ya kufanya ushetani.
 
I'm so liberal na sioni ubaya wa biashara hii kuhalalishwa kama nchi nyingine ile wahusika walipe kodi na itasaidia kupunguza ubakaji....
 
Unaijua adhabu ya ku facilitate human trafficking?

mkuu m pesa ishu ni kwamba nitatangaza nafasi za kazi na wale watakaokuwa interested nikiridhika nao basi tutasaini mkataba ambao utampa haki zote kama waajiriwa wengine.. Ndiyo maana nataka kuifanya iwe legal bussines!
 
Biashara kama hii ilishamiri sana miaka ya '70 hapa nchini kama vile maeneo ya Kisutu, Temeke (Dsm), Shamba street (Moro). Nahisi haikuwa inalipa ni biashara kichaa!
 
kivipi mkuu katavi....developed countries mnapoenda kuomba misaada haya mambo hayapo?

kaka nashukuru kwa kunielewa. Ukweli ni kwamba hii ni miongoni mwa biashara ambayo itaweza kuingiza pesa kwenye pato la taifa kwa kupitia kodi..
 
Ya ni biashara nzuri sana ila kama una mtaji mkubwa anzisha mkoa wa Morogoro maeneo ya msamvu utapata hele mpaka ushangae kwa sababu huo mkoa kwa sasa unatka kuwa kama wa semina, na si unajua watu (wanandoa) wakiwa semina inakuwa kama mbuzi amekata kamba wanafunguka ile mbaya, yaani imefika kipindi ukienda mapinduzi hawataki muondoke na ukitaka kuondoka bei inakuwa ipo juu sana, ila chukua viwango na wacheshi, ila kama ukiweza kupata hata wa kiume ni vzr kwani nilishuhudia mashuga mami yakikaaa mkao wa hasara wakiwa na sura za uhutaji.
 
umekazania kuwa malengo yako kupatia kodi taifa, wakati una yako kichwani!! na hiyo biashara kama watu wakitaka kula tajiri utawapa?? wanao wa kike utaawaajiri hapo ili iwe familly business tu au ?!?!? Kuwa na wisdom kama ni mwanaume/mwanamke biashara zipo nyingi tu za kuanzia hata na vipesa vidogo. wewe unataka kutengeneza kitita kwa kutumia miili ya watu huoni aibu??
Jibu kama wanao wa kike ama nduguzo wa kike utawaajiri hapo, hapo tutajua kweli unania ya kuchangia taifa!!!
 
Mimi siku za karibuni nimekuwa na fantasy ya kutembea na mature woman...nitakuwa loyal customer kama kwenye hhiyo list ya waajiriwa atakuwa mama yako mzazi.Dada zako nitawaachia wadau wengine.
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom