cold water
Senior Member
- Oct 6, 2021
- 175
- 618
Naomba kuuliza ile camera inayotumika kuchukua vidio mbalimbali kwenye events kama maharusi,misiba, etc inauzwa sh ngapi pamoja na stand yake na je inalipa?
Ngoja waje wale wa Maharusini...Naomba kuuliza ile camera inayotumika kuchukua vidio mbalimbali kwenye events kama maharusi,misiba, etc inauzwa sh ngapi pamoja na stand yake na je inalipa?
Ina depend mkuu unataka video za ubora gani na picha za ubora upi na camera unazotaka ni used au mpyaNaomba kuuliza ile camera inayotumika kuchukua vidio mbalimbali kwenye events kama maharusi,misiba, etc inauzwa sh ngapi pamoja na stand yake na je inalipa?
Naomba kuuliza ile camera inayotumika kuchukua vidio mbalimbali kwenye events kama maharusi,misiba, etc inauzwa sh ngapi pamoja na stand yake na je inalipa?
Thanks....seen!!!!!Ina depend mkuu unataka video za ubora gani na picha za ubora upi na camera unazotaka ni used au mpya
Ila kwa haraka camera kali kwa picha ni kuanzia canon mark 5D iii ambayo kwa used unaweza ipata kwa 2.5m plus lens
Pia usisahau kuna
1:Speed light
2: light
3:reflector
5. Printer kwa ajili ya picha ambayo hii utakuwa unawapiga watu picha wakati wa chakula wewe unaziprint picha zote watu wakitoka tu ukumbini wanakutana na picha zao ambapo picha ya chini unaweza kuiuza kwa 5k
Kimaskini unaweza kuanza hata na 1.5m au 2m ambapo unaweza kupata mark 5d ii na baadhi ya vngne muhimu vya kuanzia
kila kitu kinalipa kutokana na matokeo ya jitihada chanya na sahihi utakazoweka ndani yake.inauzwa sh ngapi pamoja na stand yake na je inalipa?
Mtalaam hii canon 5D mark ii ilipige picha nzuri zaidi ni lens ipi bora ? Nimependa maelezo yako bila shaka ww unazijulia sanaa izi ..nimeinunua hii kitu kwa personal purposeIna depend mkuu unataka video za ubora gani na picha za ubora upi na camera unazotaka ni used au mpya
Ila kwa haraka camera kali kwa picha ni kuanzia canon mark 5D iii ambayo kwa used unaweza ipata kwa 2.5m plus lens
Pia usisahau kuna
1:Speed light
2: light
3:reflector
5. Printer kwa ajili ya picha ambayo hii utakuwa unawapiga watu picha wakati wa chakula wewe unaziprint picha zote watu wakitoka tu ukumbini wanakutana na picha zao ambapo picha ya chini unaweza kuiuza kwa 5k
Kimaskini unaweza kuanza hata na 1.5m au 2m ambapo unaweza kupata mark 5d ii na baadhi ya vngne muhimu vya kuanzia