Yuda Legacy
JF-Expert Member
- Jun 21, 2023
- 534
- 1,746
Kama kichwa kisemavyo nataka kwenda south Africa MTAJI million tano nje ya nauli nauli nimetenga kama laki 800k msaada maelekezo nifikie mtaa upi na nifanye biashara gani.
Ambayo itanitoa nikifika kule je ni mitaaa gani Ambayo inawa bongo wenzangu wengi ili niwe na organize nao nikitoka kwenye biashara I mean wakati wa jioni ili niwe napata experience Zaidi kuliko nimetoka biasharani ni ndani tu hiyo nadhani haitanisaidia kuijua nchi ya Republic of south Africa.
Mtaaa upi nikifanya biashara itakuwa kwangu rahisi kutoka kimaisha ndio main issue kubwa wana jf nijuzwe hilo.
Kodi ya chumba ni sh ngapi itapendeza sana nikipata chumba cha bei rahisi hata kama ni uswazi.
Sijawahi Kabisa kufika south Africa Zaidi ya kuiona kwenye ramani tu.
Ninapotokea ni Mbeya
Nawasilisha
Ambayo itanitoa nikifika kule je ni mitaaa gani Ambayo inawa bongo wenzangu wengi ili niwe na organize nao nikitoka kwenye biashara I mean wakati wa jioni ili niwe napata experience Zaidi kuliko nimetoka biasharani ni ndani tu hiyo nadhani haitanisaidia kuijua nchi ya Republic of south Africa.
Mtaaa upi nikifanya biashara itakuwa kwangu rahisi kutoka kimaisha ndio main issue kubwa wana jf nijuzwe hilo.
Kodi ya chumba ni sh ngapi itapendeza sana nikipata chumba cha bei rahisi hata kama ni uswazi.
Sijawahi Kabisa kufika south Africa Zaidi ya kuiona kwenye ramani tu.
Ninapotokea ni Mbeya
Nawasilisha