Real polycarp
New Member
- Dec 9, 2023
- 2
- 10
Habari za muda huu ndugu zangu me ni kijana mdogo mwenye umri wa miaka 24 naomba kushare hili wazo kwenu ili kupata Maoni tofauti tofauti yanayoweza kunisaidia.
Nina wazo la kufungua store niwe nauza mchele tu kutokea mikoani kwa bei ya rejareja kwa capital ndogo ambayo ninayo ambayo ni 1.5M.
Je, Kwa capital hii niliyonayo naweza ku running hii biashara nikianzia na kulipa rent ya frem, kununua vifaa (mzani etc) kuchukua mchele huko mikoani plus cost za usafirishaj Mpka kufika hapa Dar nilipo?
Nina wazo la kufungua store niwe nauza mchele tu kutokea mikoani kwa bei ya rejareja kwa capital ndogo ambayo ninayo ambayo ni 1.5M.
Je, Kwa capital hii niliyonayo naweza ku running hii biashara nikianzia na kulipa rent ya frem, kununua vifaa (mzani etc) kuchukua mchele huko mikoani plus cost za usafirishaj Mpka kufika hapa Dar nilipo?