Msafiri Kasian
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 2,133
- 659
Kama mnavyoenda kuanza mitihani yenu,muombe Mungu,kaa chini soma kwa makini maswali na kisha ujibu. Ukifanya vibaya mtihani mmoja,usikate tamaa kwa mitihani inayofuata. Acheni kufikiria mitihani kuvuja,someni.