mpalu
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 2,521
- 870
nasikia lkn hakuna job security kabisa....wengi hawana mikataba ila pesa yao baba ni ya kufa mtuLeopard Tours Arusha.
nasikia lkn hakuna job security kabisa....wengi hawana mikataba ila pesa yao baba ni ya kufa mtuLeopard Tours Arusha.
hii ofisini yenu inaitwaje mkuu
Through my experience in auditing firms assigments in different companies kwenye mashirika ya uma tanapa, tanesco, has good rate in terms of salary but they pay through experience not education nilishangaa sana kukuta kuna watu wana certificates but wanafika hadi 3 m,
Tukitoa mashirika ya uma yaani overall paying companies zinazoongoza ni za oil and gas explorations na zinazifata ni za madini in terms of salaries, watu waliopo kwenye oil and gas industry ni balaa hadi auditors mnajiuliza mishahara yote ya kazi gani hii,
Jamani naomba mnisaidie nafanya research nataka kufahamu makampuni/mashirika ya uma kumi bora kwa ulipaji mzuri wa mishahara pamoja na marupurupu na faida za ziada kama matibabuna mengineye. Naomba mnisaidie kwa ambaye ana information hata ndigo itanisaidia katika research yangu
si ndio maana mikasi imechukua nambari wani kwenye LOE ratiba ni kama ifuatayo
saa 12-3 asubuhi... kwenda kazini
saa 3-4 asubuhi... vibua na chapati, na gazeti la shigongo
saa 4-5... kwenda benki
saa sita hadi saa nane ... lunch (na kamkasi kwiki)
saa nane - saa tisa na nusu... chapa kazi ya kufa ntu
saa tisa na nusu - 12 jioni... kwenda home
saa 12 - 3 jioni... tubia tunne
after... XXXXXX
repeat that at least three times a week
kwa mfumo alionao magufuli sasa.tafuta ajira serikalini
msharaha laki saba
posho milioni nne
safari wka siku (nje) dollar 600 na ndani 120,000
kodi less than 20%
it doesnt get any better
Long time kitambotafuta ajira serikalini
msharaha laki saba
posho milioni nne
safari wka siku (nje) dollar 600 na ndani 120,000
kodi less than 20%
it doesnt get any better
Acha kuupotosha umma mkuuBarrick Gold Tanzania, na Geita (migodini). kule ukienda, Human recource anaweza kuwa analipwa hata milioni tatu hadi tano kwa mwezi. mlinzi wa mgodini wanalipwa laki tisa hadi milioni moja na nusu. mwanasheria wa kampuni analipwa kuanzia milioni tano kwenda juu kwa mwezi. mfano Tulawaka, hiyo ni net, halafu chakula bure mnapikiwa cha first class (western) unakula tani yako, hivyo huo mshahara hautanunua chakula etc. ndio maana wanamalizia kwenye uzinzi tu wakienda likizo. unafanya kazi wiki tatu, wiki mbili likizo. hao ndo wazungu bwana. pamoja na kwamba wanatuibia sana, lakini watz wenzetu wanaofanya kazi huko ndo wanalipwa hivyo.
Haya ni makampuni?Udsm,sua,mzumbe
Hivi huo nao ni mshahara?,huko kwenye corporate world watu wanalamba hadi 50m wewe unaaongelea 3.5 m,?Nasikia manager wa mkoa SIDO analamba 3.5 mil
ILa uyo wa 3.5m malupulupu yake usipimeHivi huo nao ni mshahara?,huko kwenye corporate world watu wanalamba hadi 50m wewe unaaongelea 3.5 m,?
Nina wasiwasi na uelewa wako juu ya mambo unayochangia!
Baada ya Mungu mzungu basi tuseme hivi dunia ya Mungu vitu vya mzungu kama hutaki acha.Barrick Gold Tanzania, na Geita (migodini). kule ukienda, Human recource anaweza kuwa analipwa hata milioni tatu hadi tano kwa mwezi. mlinzi wa mgodini wanalipwa laki tisa hadi milioni moja na nusu. mwanasheria wa kampuni analipwa kuanzia milioni tano kwenda juu kwa mwezi. mfano Tulawaka, hiyo ni net, halafu chakula bure mnapikiwa cha first class (western) unakula tani yako, hivyo huo mshahara hautanunua chakula etc. ndio maana wanamalizia kwenye uzinzi tu wakienda likizo. unafanya kazi wiki tatu, wiki mbili likizo. hao ndo wazungu bwana. pamoja na kwamba wanatuibia sana, lakini watz wenzetu wanaofanya kazi huko ndo wanalipwa hivyo.
🤣🤣😂 you gui you make lough a lotNina wasiwasi na uelewa wako juu ya mambo unayochangia!