Best paying company in tanzania

nadhani kupima mshahara mtu anaolipwa inabidi tuanzia kuangalia fresh graduate analipwa kiasi gani ndo unaweza elewa vizuri zaidi
 
Simple...it is difficult for them to retain people...the same mines, the same kind of jobs...kila siku wanataka watu. What for???!!!!

Inasemekana wabongo wakiajiriwa huko hawatulii, wanaingia tamaa na kujikuta wanaingia kwenye maskendo ya kupiga dili (licha ya kulipwa vizuri). Yaani hata kama ni kukwangua hadi ukoko, inapofika mahali wanataka kukwangua hadi WATOBOE SUFURIA, ndipo mwajiri anaamua kuwatimua ili kunusuru sufuria yake.
Hufanya ivo kwa imani anaowaleta huenda wataacha kukwangua ila bahati mbaya wengi huendelea na tabia kama za wenzao utafkiri baba yao ni mmoja. Afu wakirudi kijiweni, unakuta mtu karudi na mabati yanayotembea (gari) hana ata kiwanja; mwishoni wanaanza lawama la kijinga, o-serikali,-o ajira,....nk.
Ndio maana tunaona matangazo karibia kila mwezi

Kwa mnaopata izi kazi mna bahati sana maana HAMZIJUI TGSD hasa kama ndo mnatoka vyuoni, jifunzeni kutulia... maana mkifukuzwa, ni vigum sana kupata bahati kama hiyo...Hata America uionayo leo imejengwa kwa miaka zaidi ya 200... acheni kuharakia
 
Bado tunatembea taratibu...dunia yetu, hasa hii Tanzania yetu inakwenda kwa kasi ya ajabu. Mwenye macho haambiwi ona
 
Barrick???NEVER...
Barrick Gold Tanzania, na Geita (migodini). kule ukienda, Human recource anaweza kuwa analipwa hata milioni tatu hadi tano kwa mwezi. mlinzi wa mgodini wanalipwa laki tisa hadi milioni moja na nusu. mwanasheria wa kampuni analipwa kuanzia milioni tano kwenda juu kwa mwezi. mfano Tulawaka, hiyo ni net, halafu chakula bure mnapikiwa cha first class (western) unakula tani yako, hivyo huo mshahara hautanunua chakula etc. ndio maana wanamalizia kwenye uzinzi tu wakienda likizo. unafanya kazi wiki tatu, wiki mbili likizo. hao ndo wazungu bwana. pamoja na kwamba wanatuibia sana, lakini watz wenzetu wanaofanya kazi huko ndo wanalipwa hivyo.
 
Njoo hapa cotex utafurahi. Mi ni plant engineer ninamiliki FTC ya Electrical engineering (kwenye C sema certificate ila usijali lakini mimi ni injinia, madigrii mtajiju nayo). Nalamba mshahara kama wa katibu mkuu wa wizara 263k. Mnaonionea gere kajinyongeni. Laki tatu kasoro mchezo?

Mnafikiri BADILI TABIA na Kongosho wanapendeza kwa hela za mazabe?

Mshindwe na mfe.
 
Last edited by a moderator:
tafuta ajira serikalini

msharaha laki saba
posho milioni nne
safari wka siku (nje) dollar 600 na ndani 120,000
kodi less than 20%

it doesnt get any better

hahaha, hapo ndo mpango mzima. Umesahau na hakuna kazi, kama ni stress ni ya kuwa idle.
 
Barrick Gold Tanzania, na Geita (migodini). kule ukienda, Human recource anaweza kuwa analipwa hata milioni tatu hadi tano kwa mwezi. mlinzi wa mgodini wanalipwa laki tisa hadi milioni moja na nusu. mwanasheria wa kampuni analipwa kuanzia milioni tano kwenda juu kwa mwezi. mfano Tulawaka, hiyo ni net, halafu chakula bure mnapikiwa cha first class (western) unakula tani yako, hivyo huo mshahara hautanunua chakula etc. ndio maana wanamalizia kwenye uzinzi tu wakienda likizo. unafanya kazi wiki tatu, wiki mbili likizo. hao ndo wazungu bwana. pamoja na kwamba wanatuibia sana, lakini watz wenzetu wanaofanya kazi huko ndo wanalipwa hivyo.

Mleta uzi anatafuta data za makampuni/mashirika ya uma. Hayo unayotaja wewe mbona ni private companies?
 
Mleta uzi anatafuta data za makampuni/mashirika ya uma. Hayo unayotaja wewe mbona ni private companies?

Acha unoko mwaJ ukiendelea hivi utatoa mpaka siri za homeboy wangu Kaizer

Nabii Musa hapendi!
 
Last edited by a moderator:
sasa wewe erick52B mbona huelewi kabisa fungua co. yako na ujiajiri achana na kuajiriwa kwani hakulipi kwani una ujuzi wa kutosha katika masuala ya conselling ingia upate ugali wako wenyewe uliousumbukia
 
Mkuu umetoa la moyoni. Safi sana aiseee.
Inasemekana wabongo wakiajiriwa huko hawatulii, wanaingia tamaa na kujikuta wanaingia kwenye maskendo ya kupiga dili (licha ya kulipwa vizuri). Yaani hata kama ni kukwangua hadi ukoko, inapofika mahali wanataka kukwangua hadi WATOBOE SUFURIA, ndipo mwajiri anaamua kuwatimua ili kunusuru sufuria yake.
Hufanya ivo kwa imani anaowaleta huenda wataacha kukwangua ila bahati mbaya wengi huendelea na tabia kama za wenzao utafkiri baba yao ni mmoja. Afu wakirudi kijiweni, unakuta mtu karudi na mabati yanayotembea (gari) hana ata kiwanja; mwishoni wanaanza lawama la kijinga, o-serikali,-o ajira,....nk.
Ndio maana tunaona matangazo karibia kila mwezi

Kwa mnaopata izi kazi mna bahati sana maana HAMZIJUI TGSD hasa kama ndo mnatoka vyuoni, jifunzeni kutulia... maana mkifukuzwa, ni vigum sana kupata bahati kama hiyo...Hata America uionayo leo imejengwa kwa miaka zaidi ya 200... acheni kuharakia
 
hahaha, hapo ndo mpango mzima. Umesahau na hakuna kazi, kama ni stress ni ya kuwa idle.

si ndio maana mikasi imechukua nambari wani kwenye LOE ratiba ni kama ifuatayo
saa 12-3 asubuhi... kwenda kazini
saa 3-4 asubuhi... vibua na chapati, na gazeti la shigongo
saa 4-5... kwenda benki
saa sita hadi saa nane ... lunch (na kamkasi kwiki)
saa nane - saa tisa na nusu... chapa kazi ya kufa ntu
saa tisa na nusu - 12 jioni... kwenda home
saa 12 - 3 jioni... tubia tunne
after... XXXXXX

repeat that at least three times a week
 
Nadhani wewe unasikia kijiweni. Yawezekana kwa watu walioko kwenye hizi nafasi more than 4 years sababu ya annual salary increment lakini sio kuanza tuu hawatoi pesa aina hiyo. Nimewahi kushiriki kwenye Salary Survey pale PWC hali sio hivo unavyoisema.
 
jamani naomba mnisaidie nafanya research nataka kufahamu makampuni/mashirika ya uma kumi bora kwa ulipaji mzuri wa mishahara pamoja na marupurupu na faida za ziada kama matibabuna mengineye. Naomba mnisaidie kwa ambaye ana information hata ndigo itanisaidia katika research yangu

nenda kwenye makampuni husika kakusanye data ,unataka kukusanya data vijiweni ndio maana research zetu nyingi ni feki.
 
Figuratively Best Paying CO. in TZ

TCC
TANAPA
DFID,WB,FAO,UN AGENCIES
AFBGOLD
EWURA
NSSF,PPF,NHIF
VTL
TZ TOBACCO LEAF T LTD
PWC,KPMG,DELLOITE,SYNOVATE,IMMAWORLD HEALTH,FUTURESGROUP,TACAIDS
AIR TEL
GEITA GOLD.
IFAKARA HEALTH,NIMR,MDH,JHPIEGO,JOHNSNOW
 
Hakuna shirika bongo linalolipa vizuri,wengi wafanyakazi ni wezi tu! Tuzungumzie level za graduates na si level za management na directors! Level za graduates makampuni mengi yanalipa kuanzia 250k-1300k,sasa 1300k kwa mwezi ni hela ndogo sana hiyo ni sawa na usd900,ambayo kwa mbeba box wa usa anaipata kwa siku nne tu! Watanzania wengi ni wezi hawafanyi kazi ipasavyo kati ya masaa nane ya siku anafanya kazi masaa mawili tu! Kwanza kazini anaingia saa tatu akifika anasoma magazeti mpaka saa nne kasoro,anaanza maandalizi ya chai na kwenda canteen anakula mpaka saa tano akifika anapiga story mpaka saa 6 then anachezea net mpaka saa 7 nusu saa anagusa gusa makarati saa saba na nusu anaenda kula mpaka saa tisa anaenda ofisin tena anacheza na net mpaka saa kumi kasoro then anaenda washroom saa kumi na dakika kumi na tano anapiga story mpaka na nusu anaondoka,hyo ndio ratiba ya wabongo kazini.
hii ofisini yenu inaitwaje mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom